Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Bas kutakua na jamboNajua sana, sio kila kitu cha kusema Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas kutakua na jamboNajua sana, sio kila kitu cha kusema Mkuu.
Sisi wenye D mbili tuka tafte pango la kujificha hii code ni kwa wale wa PCM(phisics, chemistry ,mathematics)…. Samaleko
Tayari imeanza kufanya kazi.. KurujuaniMtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Ohoooooo!!Makonda mbona ni mgonjwa muda mrefu tu! Ndiyo maana analia hovyo makanisani na misikitini. Na hata kutupia mbegu hawezi, ni mpk kwa msaada wa test tube.
Nafuu niitwe mchawi kuliko kuwa mpambe wa muuaji MakondaAsili yako ni ya wachawi
Hata Yako pia. Tusipangiane maisha maana ccm huwa mnaona Dunia ni ya kwenu peke yenuHata yako watu watafurahi hivyo hivyo malipo ni hapahapa duniani.
Usimtaje Mungu kwenye uovu wako.mtu wa Mungu hawezi kumuombe kifo mtu mwingine hata kama ni adui.Nakuambiaje akifa nitakutumia Rambi Rambi mimi ninywe bia.Alishatangaza hakuna mtu duniani anakula raha akama yeye. Kama kamaliza starehe zote si vibaya Mungu akamchukua 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Mungu wa Israeli afanye yake kwa kweli.
Mimi sio CCM ila sipendi tabia ya kuombeana kifo.kwa sababu hakuna aliyemsafi kwa hiyo tukiombea kufa kwa sababu ya maovu hakuna atakayebaki.Alafu ukiona kwenye nchi watu wanaombea kifo hiyo nchi ni mfu.Hata Yako pia. Tusipangiane maisha maana ccm huwa mnaona Dunia ni ya kwenu peke yenu... Makkkonda acha afe.
Waambie wanaofanya mauaji anayeua kwa upanga naye atakufa kwa upanga.nchi ya namna hiyo itakuwa nchi mfu.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Who is makonda by the way?Huu uvumi unaovuma mtandaoni kuhusu afya ya makonda kuna official statement yoyote ile kuverify.