Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Hata kama hajasepa bado ila hatokuwa yule na makidai yake. Lazima viungo vitakuwa vimetafunwa sana ndani kwa ndani.

Muache alipe dhambi zake za watu aliowaua, kuwateka, kuwanyang'anya mali kati ya mwaka 2014- 20.

Kumbukeni alianza kumpiga Jaji Warioba pale Ubungo Plaza November 2014

View attachment 3058547
Haya wafuasi wa Makonda hapa ni wapi na Makonda alikua anafanya Nini hapa?
Kumsifia tu Makonda, kusema kwamba hapa ni wapi aaah!
 
Siku zote watesi sio watu wazuri😳😳😳😳
Hii tabia ya kutekana tekana !
Tabia ya kutengenezeana kashfa !
Tabia ya kuwekeana Sumu na mengineyo mabaya kama hayo ni akina nani hasa ndio waasisi wa hiyo Kazi ?? !!! 😳😳😳

Mimi nipo Tanganyika tangu kabla ya Uhuru mpaka Ukaja Muungano sikuwahi kusikiaga hivyo vitu Enzi zile !😳😳

Je ni akina nani hao waliolianzisha hilo balaa Nchini na ni kwa nini hasa walilianzisha hilo balaa ! 😳😳😳🤦🏽‍♂️

Kama wamo humu baadhi yao tunawaambia huo ulikuwa ni ujinga kweli kweli !!

Inabidi wajute sana sana na waache kabisa huo Uzwazwa !
Hii Nchi kila Mwananchi ana haki ya kuishi kwa Amani na kufanya Siasa au kazi nyingine yeyote ya halali !
Acheni Ujinga ! 😳😳😳
 
Hii tabia ya kutekana tekana !
Tabia ya kutengenezeana kashfa !
Tabia ya kuwekeana Sumu na mengineyo mabaya kama hayo ni akina nani hasa ndio waasisi wa hiyo Kazi ?? !!! 😳😳😳

Mimi nipo Tanganyika tangu kabla ya Uhuru mpaka Ukaja Muungano sikuwahi kusikiaga hivyo vitu Enzi zile !😳😳

Je ni akina nani hao waliolianzisha hilo balaa Nchini na ni kwa nini hasa walilianzisha hilo balaa ! 😳😳😳🤦🏽‍♂️

Kama wamo humu baadhi yao tunawaambia huo ulikuwa ni ujinga kweli kweli !!

Inabidi wajute sana sana na waache kabisa huo Uzwazwa !
Hii Nchi kila Mwananchi ana haki ya kuishi kwa Amani na kufanya Siasa au kazi nyingine yeyote ya halali !
Acheni Ujinga ! 😳😳😳
Tatizo ni tamaa na ubinafsi unazidi kukua siku hadi siku.
 
Hata kama hajasepa bado ila hatokuwa yule na makidai yake. Lazima viungo vitakuwa vimetafunwa sana ndani kwa ndani.

Muache alipe dhambi zake za watu aliowaua, kuwateka, kuwanyang'anya mali kati ya mwaka 2014- 20.

Kumbukeni alianza kumpiga Jaji Warioba pale Ubungo Plaza November 2014

View attachment 3058547
Malipo ni hapa hapa duniani
 
Hii tabia ya kutekana tekana !
Tabia ya kutengenezeana kashfa !
Tabia ya kuwekeana Sumu na mengineyo mabaya kama hayo ni akina nani hasa ndio waasisi wa hiyo Kazi ?? !!! 😳😳😳

Mimi nipo Tanganyika tangu kabla ya Uhuru mpaka Ukaja Muungano sikuwahi kusikiaga hivyo vitu Enzi zile !😳😳

Je ni akina nani hao waliolianzisha hilo balaa Nchini na ni kwa nini hasa walilianzisha hilo balaa ! 😳😳😳🤦🏽‍♂️

Kama wamo humu baadhi yao tunawaambia huo ulikuwa ni ujinga kweli kweli !!

Inabidi wajute sana sana na waache kabisa huo Uzwazwa !
Hii Nchi kila Mwananchi ana haki ya kuishi kwa Amani na kufanya Siasa au kazi nyingine yeyote ya halali !
Acheni Ujinga ! 😳😳😳
Haya yanayojiri kwa sasa yapo tokea enzi hizo , isipokuwa kinachofanya kwasasa yaonekane ni urahisi wa habari kutokana na ukuaji wa teknolojia.
 
Haya yanayojiri kwa sasa yapo tokea enzi hizo , isipokuwa kinachofanya kwasasa yaonekane ni urahisi wa habari kutokana na ukuaji wa teknolojia.
Waanzilishi wanajijua wenyewe !
Ila wajue ukimtendea mwenzio na wewe umefungulia njia ya kutendewa pia !

What goes around comes around !
Law of the Universe inasema hivyo !
 
Back
Top Bottom