frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
Kweli hili jua lilivyo kali lazma uchanganyikiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Wameshaondoka na ana bahat na yeye angejichanganya ningemmwagia FUTA baada ya siku kadhaa nae aje afate mafao yake ya uzazi kama mwenzie Alie kuja naebado nipo ghorofa ya juu kuna kazi namalizia waambie wanisubir
Na kila mtu atachanganyikiwa Kwa wakat wakeKweli hili jua lilivyo kali lazma uchanganyikiwe
Acha bas kuwakuza ivyo hawapend ujue😂Hivi una habari mtoto aliyezaliwa mwaka wa 2000 now ni mmama mwenye miaka 25?
Madako Yako we bwana weeeeMleta mada naye mbn km mtoto wa 2000
Nimesoma mpaka mwisho...shida sio story...tatizo ni haya ndo yamejaa kichwani kwako?Habari wakuu,apa ngoja niwape true story but fup ila inachekesha sana😂😂
Apo kwanza ngoja nncheke😂😂😂😂😂.
Leo asubui mazingira ya asubui Kuna mabint wawili wamekuja kazini,mmoja mama K mwingine ndo kabinti ka 2000 alivyo fika kakawa kananichekea chekea baadae mshikaj akamtongoza kakachukua no za sim za mshikaj baadae mchana huu ameshuka kutoka gorofan kakaja kukaa nilipo Kaa mm pemben Kuna mshikaj wangu ambae alimtongoza asubui,Sasa tukawa tunapiga story kakawa kananiambia eti mm nimezubaa sana😂😂😂😂 ila Ile no ya mshikaj aliyo mwandikia Kwa karatasi ameitupa mana alimwambia jamaa ana sim,alitaka kunipa sim nimwandikie namba ila akawa anamwoga mshikaj 😂😂😂😂
Ila Ile kauli yake sijaipendaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
Watoto wa 2000Madako Yako we bwana weeee
Kajaza upupu kichwani, na yeye ni mtoto wa 2000Nimesoma mpaka mwisho...shida sio story...tatizo ni haya ndo yamejaa kichwani kwako?
Ok change your mind...change your company...maisha yako speed sana
Soma au upe ubongo wako mambo mengi mazuri...otherwise akili yako itawaza hayo hayo kila siku...dou you have a family...kama Huna mpango wako nini?
Learn to be a responsible man
Have a good day
Wote ndo hao hao kama sio basi anapitia matatizo ya msongo wa mawazo...sababu ni nyingi...kukosa ajira nkMleta mada naye mbn km mtoto wa 2000
Hahahaha mie nimemuweka katika Kundi la Watoto wa 2000 ,ndio Wana story hizoWote ndo hao hao kama sio basi anapitia matatizo ya msongo wa mawazo...sababu ni nyingi...kukosa ajira nk
Aisee hata sijaelewa,labda unitafsirieWe bwana kuronga ufila😂😂
Mbona makarisiko 😂😂Nimesoma mpaka mwisho...shida sio story...tatizo ni haya ndo yamejaa kichwani kwako?
Ok change your mind...change your company...maisha yako speed sana
Soma au upe ubongo wako mambo mengi mazuri...otherwise akili yako itawaza hayo hayo kila siku...dou you have a family...kama Huna mpango wako nini?
Learn to be a responsible man
Have a good day
Acha kuronga ushuzi mkuuKajaza upupu kichwani, na yeye ni mtoto wa 2000
Sasa nakosaje ajira ikiwa uyu Binti nimekwambia amekuja kazin kwangu kupata huduma 😂😂😂Wote ndo hao hao kama sio basi anapitia matatizo ya msongo wa mawazo...sababu ni nyingi...kukosa ajira nk