Hata Mimi kapa tu !Nimetoka kapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi kapa tu !Nimetoka kapa!
Anaandika kama mtu aliyebugia "Duble kick"Hata Mimi kapa tu !
Wewe ni mashavu 😂😂😂😂😂😂Thubutuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulijuaje mkuuuAnaandika kama mtu aliyebugia "Duble kick"
Sasa kama umezubaa ulitaka asikwambie ukweli.Habari wakuu, apa ngoja niwape true story but fupi ila inachekesha sana.
Apo kwanza ngoja nicheke.
Leo asubuhi, mazingira ya asubuhi, kuna mabinti wawili wamekuja kazini. Mmoja mama K, mwingine ni kabinti ka 2000. Alivyofika, kakawa kananichekea chekea. Baadaye, mshikaji akamtongoza na akachukua namba za simu za mshikaji.
Baadaye, mchana huu, ameshuka kutoka ghorofani akaja kukaa nilipo kaa mimi. Pembeni kuna mshikaji wangu ambaye alimtongoza asubuhi.
Sasa tukawa tunapiga story, kakawa kananiambia eti mimi nimezubaa sana.
Ila ile namba ya mshikaji aliyomwandikia kwenye karatasi ameipiga chini, maana alimwambia jamaa ana simu. Alitaka kunipa simu nimwandikie namba, ila akawa anamwogopa mshikaji.
Ila ile kauli yake sijaipenda kabisa.
Kuanzia 2000- mwaka huu, kama ulizaliwa ndani ya miaka hiyo inamaanisha ww ni mtoto wa elfu 2 haijalishi umezaliwa 2000 ama 2025Hivi una habari mtoto aliyezaliwa mwaka wa 2000 now ni mmama mwenye miaka 25?
Inakuhusu maana yote iyo ni aongee na wwKameniudh Sasa kwann apokee no ya mtu amabe aja mwelewa alafu anatoka uko anakuja nambia eti Ile no ya jamaa nimeitupa uko😂😂 mm Ina niusu nn mkuu
Shida ya ujuaji nao ulimponza mzee toraSasa kama umezubaa ulitaka asikwambie ukweli.
Acha kuzubaa mtoto wa kiume.
😂😂😂😂 Sa si ndo kangenipa no mm Nile mbunyeto 😂😂😂 anamwogopa mshikaj Ili iweje😂😂😂Inakuhusu maana yote iyo ni aongee na ww
Hatar hyoooHabari wakuu, apa ngoja niwape true story but fupi ila inachekesha sana.
Apo kwanza ngoja nicheke.
Leo asubuhi, mazingira ya asubuhi, kuna mabinti wawili wamekuja kazini. Mmoja mama K, mwingine ni kabinti ka 2000. Alivyofika, kakawa kananichekea chekea. Baadaye, mshikaji akamtongoza na akachukua namba za simu za mshikaji.
Baadaye, mchana huu, ameshuka kutoka ghorofani akaja kukaa nilipo kaa mimi. Pembeni kuna mshikaji wangu ambaye alimtongoza asubuhi.
Sasa tukawa tunapiga story, kakawa kananiambia eti mimi nimezubaa sana.
Ila ile namba ya mshikaji aliyomwandikia kwenye karatasi ameipiga chini, maana alimwambia jamaa ana simu. Alitaka kunipa simu nimwandikie namba, ila akawa anamwogopa mshikaji.
Ila ile kauli yake sijaipenda kabisa.
Uwez elewa mkuu mijini mipango 😂😂😂Hivi hizo kazi huwa mnzipataje? Kama kujielezea au kuelezea jambo tu huwezi kama hivi
Kuandika tu uwez kanga lubete na Omar 😂😂 ila kufatilia mambo ya watu aaah😂😂😂mbona wewe mwenyewe unaonekanwa wa 2000
Wee em sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mashavu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hatarii.Hivi hizo kazi huwa mnzipataje? Kama kujielezea au kuelezea jambo tu huwezi kama hivi
KiivoKiaje yaaani 🤷🏽♂️😂😂
Una miaka mingapi kwani tuanzie hapoHabari wakuu, apa ngoja niwape true story but fupi ila inachekesha sana.
Apo kwanza ngoja nicheke.
Leo asubuhi, mazingira ya asubuhi, kuna mabinti wawili wamekuja kazini. Mmoja mama K, mwingine ni kabinti ka 2000. Alivyofika, kakawa kananichekea chekea. Baadaye, mshikaji akamtongoza na akachukua namba za simu za mshikaji.
Baadaye, mchana huu, ameshuka kutoka ghorofani akaja kukaa nilipo kaa mimi. Pembeni kuna mshikaji wangu ambaye alimtongoza asubuhi.
Sasa tukawa tunapiga story, kakawa kananiambia eti mimi nimezubaa sana.
Ila ile namba ya mshikaji aliyomwandikia kwenye karatasi ameipiga chini, maana alimwambia jamaa ana simu. Alitaka kunipa simu nimwandikie namba, ila akawa anamwogopa mshikaji.
Ila ile kauli yake sijaipenda kabisa.