Mtoto wa 2000 kaniambia nimezubaa sana. Kauli yake sijaipenda kabisa!

Mtoto wa 2000 kaniambia nimezubaa sana. Kauli yake sijaipenda kabisa!

Habari wakuu, apa ngoja niwape true story but fupi ila inachekesha sana.

Apo kwanza ngoja nicheke.

Leo asubuhi, mazingira ya asubuhi, kuna mabinti wawili wamekuja kazini. Mmoja mama K, mwingine ni kabinti ka 2000. Alivyofika, kakawa kananichekea chekea. Baadaye, mshikaji akamtongoza na akachukua namba za simu za mshikaji.

Baadaye, mchana huu, ameshuka kutoka ghorofani akaja kukaa nilipo kaa mimi. Pembeni kuna mshikaji wangu ambaye alimtongoza asubuhi.

Sasa tukawa tunapiga story, kakawa kananiambia eti mimi nimezubaa sana.

Ila ile namba ya mshikaji aliyomwandikia kwenye karatasi ameipiga chini, maana alimwambia jamaa ana simu. Alitaka kunipa simu nimwandikie namba, ila akawa anamwogopa mshikaji.

Ila ile kauli yake sijaipenda kabisa.
Nenda ukachukue Gono na kaswende uje umalizie stori.

Hakikisha unamix by nyash ili asikuite tena wa kuzubaa.
 
Kama vijana wenyewe ndo hawa Tuntu Lissu arudi zake tu Ubeligiji.Hii nchi imeshindikanika🙌🙌🙌

Majitu ya mwaka 2000 bado yanajiona matoto hivi nyie Gen Z hamjui 25 tayari ni jua la saa nane😬😬😬bado tu mnagawana U.T.I na Kaswende.
 
Nenda ukachukue Gono na kaswende uje umalizie stori.

Hakikisha unamix by nyash ili asikuite tena wa kuzubaa.
Yaan kuongea nae tu tayar apa napiga sipr + docsi manyuziiiiii 😂😂😂
 
Acha kwanza Leo nipoze Koo Kwa yaliyo nikuta Jana Kwa kitoto cha 2000😂😂😂 Anastasia21 BRAZA CHOGO BICHWA KOMWE - Nikifa MkeWangu Asiolewe Two2
IMG_20250305_104002_683.jpg
 
Back
Top Bottom