Mtoto wa 2000 kaniambia nimezubaa sana. Kauli yake sijaipenda kabisa!

Nimesoma mpaka mwisho...shida sio story...tatizo ni haya ndo yamejaa kichwani kwako?

Ok change your mind...change your company...maisha yako speed sana

Soma au upe ubongo wako mambo mengi mazuri...otherwise akili yako itawaza hayo hayo kila siku...dou you have a family...kama Huna mpango wako nini?

Learn to be a responsible man

Have a good day
 
Kajaza upupu kichwani, na yeye ni mtoto wa 2000
 
Mbona makarisiko πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…