Mtoto wa Arachuga Dogo Janja yuko wapi simsikii hewani?

Mtoto wa Arachuga Dogo Janja yuko wapi simsikii hewani?

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Nimi sio mpenzi wa mziki ila huwa naisikia tu redioni.

Ni kati ya wanamuziki wachache sana wenye vipaji vya kurap pamoja na kina M.r bluu.

Aliibuka vizuri sana kwenye mziki wa bongo fleva lkn sasa simsikii hewani na kwa jinsi sasa hivi kulivyo na radio nyingi kila wilaya lkn huyo dogo simsikii kabisa amekutana na kitu gani tena.

Mziki wa bongo fleva ulianza kama mziki wa kurap lkn sasa hivi umechanganyika umekuwa kama kwaya yaani mashairi na kiitikio umekosa ladha kabisa kina M.r bluu sijui wako wapi angeungana na huyu dogo janja wangefanya kitu corabo cha hali ya juu sana kama wenzetu kule maandishi matatu usa.

Mziki wa bongo fleva sasa umekuwa na staili kama ya dance ya twanga pepeta hauna vionjo na vitu vya kucomekea.

Sasa najiuliza ameishia wapi huyu dogo atupeleke ngarenarooo..?
 
Nimi sio mpenzi wa mziki ila huwa naisikia tu redioni
Ni kati ya wanamuziki wachache sana wenye vipaji vya kurap pamoja na kina M.r bluu.Aliibuka vizuri sana kwenye mziki wa bongo fleva lkn sasa simsikii hewani na kwa jinsi sasa hivi kulivyo na radio nyingi kila wilaya lkn huyo dogo simsikii kabisa amekutana na kitu gani tena.
Mziki wa bongo fleva ulianza kama mziki wa kurap lkn sasa hivi umechanganyika umekuwa kama kwaya yaani mashairi na kiitikio umekosa ladha kabisa kina M.r bluu sijui wako wapi angeungana na huyu dogo janja wangefanya kitu corabo cha hali ya juu sana kama wenzetu kule maandishi matatu usa.
Mziki wa bongo fleva sasa umekuwa na staili kama ya dance ya twanga pepeta hauna vionjo na vitu vya kucomekea.
Sasa najiuliza ameishia wapi huyu dogo atupeleke ngarenarooo..?
Anapiga biashara zake hana wasiwasi.

Mziki wa bongo fleva anayeimba ndiye ana determine wauchukulie ni dance au la.

Zile sebene za alikiba enzi za chekecha, mwana, angekuwa kaikba nyosho zisingekuwa zinapigwa kwenye vipindi bongo fleva hata lile sebene la nandy na diamond pia
 
Dogo janja ana business zinamlipa kuliko mziki kutokana na level yake na show chuga anapiga Sana waulize Wana wa huko

Angalia Ile bia ya chui anapromote hapo pesa ya bata uwakika
Dogo janja namkubali kwani still anaheshimu wakina madee ndo maana anafika mbali na atendelea kufika

Ila nilitaka kujua ivi huyu dogo janja na young D Wana watoto wa kuzaa kama aslay maana pesa wanazo
 
Yes umenikumbusha jina la dogo aslay.. ila dogo janja kama bado anaimba labda kama burudani tu.
Dogo janja ana business zinamlipa kuliko mziki kutokana na level yake na show chuga anapiga Sana waulize Wana wa huko

Angalia Ile bia ya chui anapromote hapo pesa ya bata uwakika
Dogo janja namkubali kwani still anaheshimu wakina madee ndo maana anafika mbali na atendelea kufika

Ila nilitaka kujua ivi huyu dogo janja na young D Wana watoto wa kuzaa kama aslay maana pesa wanazo
 
Dogo janja ana business zinamlipa kuliko mziki kutokana na level yake na show chuga anapiga Sana waulize Wana wa huko

Angalia Ile bia ya chui anapromote hapo pesa ya bata uwakika
Dogo janja namkubali kwani still anaheshimu wakina madee ndo maana anafika mbali na atendelea kufika

Ila nilitaka kujua ivi huyu dogo janja na young D Wana watoto wa kuzaa kama aslay maana pesa wanazo
Mimi nipo chuga. Huyu dogo janja anapiga show wapi niende
 
Dogo janja ana business zinamlipa kuliko mziki kutokana na level yake na show chuga anapiga Sana waulize Wana wa huko

Angalia Ile bia ya chui anapromote hapo pesa ya bata uwakika
Dogo janja namkubali kwani still anaheshimu wakina madee ndo maana anafika mbali na atendelea kufika

Ila nilitaka kujua ivi huyu dogo janja na young D Wana watoto wa kuzaa kama aslay maana pesa wanazo
Dogo janja hayuko tena Arusha toka atoke kimuziki.

Arusha aliondoka zaidi ya miaka kumi iliyopita na kuhamia Dar.

Na hana biashara nyingine yoyote zaidi ya sanaa na muziki.

Kikubwa zaidi dogo janja yuko Dar anaishi kwa kulelewa na majimama.
 
Amekwama wapi wakati kipaji anacho!!
Dogo janja hayuko tena Arusha toka atoke kimuziki. Arusha aliondoka zaidi ya miaka kumi iliyopita na kuhamia Dar. Na hana biashara nyingine yoyote zaidi ya sanaa na muziki. Kikubwa zaidi dogo janja yuko Dar anaishi kwa kulelewa na majimama.
 
Dogo janja hayuko tena Arusha toka atoke kimuziki. Arusha aliondoka zaidi ya miaka kumi iliyopita na kuhamia Dar. Na hana biashara nyingine yoyote zaidi ya sanaa na muziki. Kikubwa zaidi dogo janja yuko Dar anaishi kwa kulelewa na majimama.
Bro dogo janja anaruka chuga sana fuatilia ana show nyingi anafanya labda useme aishi huko ila anakwenda sometime mpaka kweny viwanja vya golf anacheza then anarudi ili sidhani kama inaweza pita miez 2 bila kufika chuga
 
Back
Top Bottom