Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile mama lake ni la kimbuluKafichwa manzese huko na jimama la kihaya ndio linamtunza.
Hivi bado yupo Goba Tegeta A?Dogo janja hayuko tena Arusha toka atoke kimuziki.
Arusha aliondoka zaidi ya miaka kumi iliyopita na kuhamia Dar.
Na hana biashara nyingine yoyote zaidi ya sanaa na muziki.
Kikubwa zaidi dogo janja yuko Dar anaishi kwa kulelewa na majimama.
Doh..nilijua ni lihayaLile mama lake ni la kimbulu
Ruge alichangiwa na jamii pia,nakumbuka walitoa namba za bank watu watume pesaSikila mtu anapenda kuweka mambo yake wazi unajua Marehemu Ruge watu wakubwa walimchangia pesa za matibu lakin hatukusikia wakiomba kuchangiwa na jamii kama Professor J
Eeeeh ndyooooDimpozi amshukuru sana Gavana wa Mombasa JOHO a.k.a 001..
Jamaa aligharamia kila kitu.. na hili liliwekwa wazi na Dimpoz mwenyewe..
Nasikia ndo alimharibu dimpozDimpozi amshukuru sana Gavana wa Mombasa JOHO a.k.a 001..
Jamaa aligharamia kila kitu.. na hili liliwekwa wazi na Dimpoz mwenyewe..
Na kwa jinsi alivyoamua kudeal na wanawake waliomzidi Umri, Hawezi Kurudi kudate na agemate mwenzakeAnalelewa na jimama