Mtoto wa Arachuga Dogo Janja yuko wapi simsikii hewani?

Mtoto wa Arachuga Dogo Janja yuko wapi simsikii hewani?

Kafichwa manzese huko na jimama la kihaya ndio linamtunza.
 
Dogo janja hayuko tena Arusha toka atoke kimuziki.

Arusha aliondoka zaidi ya miaka kumi iliyopita na kuhamia Dar.

Na hana biashara nyingine yoyote zaidi ya sanaa na muziki.

Kikubwa zaidi dogo janja yuko Dar anaishi kwa kulelewa na majimama.
Hivi bado yupo Goba Tegeta A?
 
Sikila mtu anapenda kuweka mambo yake wazi unajua Marehemu Ruge watu wakubwa walimchangia pesa za matibu lakin hatukusikia wakiomba kuchangiwa na jamii kama Professor J
Ruge alichangiwa na jamii pia,nakumbuka walitoa namba za bank watu watume pesa
 
Back
Top Bottom