Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Na ngoja tutaona tu.Kwani mtoto akikua si atapigwa picha? Yule iyobo ana mtoto aliyezaa na mwengi ni copy ya iyobo wala huulizi.
Labda anasubiri 40 ipite ndio atuoneshe mtoto.
Antie lazima tu atampiga picha amweke mitandaoni kama alipiga ya tumbo sembuse ya mtoto.