Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
unanibwaga sana mtu wanguAende zake.
Hata kwetu lipo.
Hii ni Merc G50 au 500. haiendi kwa hiyo bei. wala haikaribi goggle n u will get theright price ikizidi sana ni usd 100k before tax
Wewe hyo.
Mie sibabaiki na viji-skrepa kama hvo.
Kweli kila mtu na mapenzi yake na uono wake,,,kagari hako hata Mil.20 nisingenunua, labda ingekuwa May Bach, Ferrari Enzo n.k
Ndio maana nikajisemea kuwa sijui ni ulofa wangu au vipi? Kwa sababu hata hayo masimu yenu ya kisasa yamejaa mikononi utafikiri mmebeba laptop siyazimikii kabisa. Likewise kwenye hii gari, siitamani hata google inielezee kwenye $500k kuna nini. Mtazamo tu naipa no, acha niendelee kukatazama ka-vitz kangu na kujipa moyo.. Still, sim-diss mwana Bakhressa, coz mwisho wa siku ni preference ya mtu ina-matter, si ndio?
Hata mie binafsi sijauona huo umilioni mia kadhaa wa hilo gari.hata moyo wangu haushtuki likipita.kitu Maybach au Range rover au Hammer au Limo likipita lazma ugeuke.hili ni la kawaida tu
800M unaliita la kawaida! U must be joking.Sema tu wewe hujalipenda
Huo ni mtazamo wangu.tena na vile ndani limekaa kama jeneza ndio kabisaaa silitaki hata bure
unanibwaga sana mtu wangu
mambo madogo hayo
Kalagabaho