Elections 2015 Mtoto wa Celine Kombani amrithi mama yake jimbo la Ulanga

EasyFit

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
1,269
Reaction score
1,082
Mtoto wa aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Ulanga marehemu Celine Kombani ameshinda kura ya maoni ndani ya chama chake CCM hivyo kumrithi mama yake kugombea ubunge kupitia chama chake CCM.

===============================


Chanzo: Mtembezi
 
Wanaulanga msikubali hilo sio Jimbo la kifalme. Ina maana Ulanga yote haina msomi au mtu yeyote aliyemaliza form 4 au anayejua kusoma na kuandika?

Msikubali, msikubali hii ni fedheha. Haiwezekani hata angekuwa Ukawa, hamna kukubali bora mkose mwakilishi sio ubunge wa kifalme.
 
Haya ndiyo mambo ambayo watanzania wameyachoka na ndiyo maana wanataka mabadiliko, inaonekana kipondo alichowapa mh. Nasari kule arumeru bado hakijawatosha
 
Huyo dogo mwenyewe alishadisko mzumbe, akasepa zake mara naskia yupo nhif
 
Hahah Goodluck! Alikua NHIF na ameoa juzi juzi tu..nilidhani Joe ndiye angerithi, anyways mungu amtangulie!

Joe brazamen Sana ubunge asingeweza acha akomae kiakili kwanza
Akishaacha kushika vikopo Java lounge na kuvaa supra ndio walau atafikiriwa
 
Joe brazamen Sana ubunge asingeweza acha akomae kiakili kwanza
Akishaacha kushika vikopo Java lounge na kuvaa supra ndio walau atafikiriwa

Hahha but hes a nice chap! Saa we jamaa ukiniona si utaniita brother man kumbe kazi nayo fanya ni kuchimba mkaa! Nawaonea huruma mno hasa joe, mtoto wa mama sana dah Rip Celine
 
Siasa za Tz zinakwenda na Sir name hata kwenye soka au muziki (jokes but wakati mwingine inatokea mtu analamba dumbe kwa jina la mtu maarufu)
 
Hahha but hes a nice chap! Saa we jamaa ukiniona si utaniita brother man kumbe kazi nayo fanya ni kuchimba mkaa! Nawaonea huruma mno hasa joe, mtoto wa mama sana dah Rip Celine

Hahaha I know he's such a nice guy lakini kwa ubunge hapana aisee bado Sana ,Mkuu na wewe unavaa supra japo ni mkata mkaa ??
Mie mwenyewe naogesha mbwa ila walau navaa travolta
 
Hahaha I know he's such a nice guy lakini kwa ubunge hapana aisee bado Sana ,Mkuu na wewe unavaa supra japo ni mkata mkaa ??
Mie mwenyewe naogesha mbwa ila walau navaa travolta

Hahah mbwa na travolta? haya nimejiongeza kama ulivyo nisihi uncle kwenye uzi wa "London"
 
Mambo kama haya ni mojawapo ya vitu ambavyo tunatakiwa kuvifanyia mabadiliko. Maana itafikia wakati hii Nchi inaweza kugeuka kuwa ya kifalme kwa kurithishana uongozi serikalini tu. Baba akistaafu anamuweka mtoto wake, mpwa wake, mkewe, mjukuu wake, nk. Sasa si upuuzi huu. Na ndio maana uchumi wa Nchi upo mikononi mwa wachache kutokana na mambo kama haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…