Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Wanaulanga msikubali hilo sio Jimbo la kifalme. Ina maana Ulanga yote haina msomi au mtu yeyote aliyemaliza form 4 au anayejua kusoma na kuandika?
Msikubali, msikubali hii ni fedheha. Haiwezekani hata angekuwa Ukawa, hamna kukubali bora mkose mwakilishi sio ubunge wa kifalme.
Kumbe wasio wasomi hawatakiwi kuwa viongozi eeh?