Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hiki chama chetu bana ndo shida yake, kimebaki cha watu wale wale, wengine tunasindiliza tu, AMA KWELI CCM INA WENYEWE, lakini tutakidai chama chetu kwa nguvu, humu humu ndani, kama ni uanachama mtuvue, hii haingii akilini kabisa
mtoto karisishwa Mali na ubunge pia nasema hii nidharau ya hali yajuu
kweli chama kinawenyewe sisi nimisukule
Philemon you can do better than this
Hahha but hes a nice chap! Saa we jamaa ukiniona si utaniita brother man kumbe kazi nayo fanya ni kuchimba mkaa! Nawaonea huruma mno hasa joe, mtoto wa mama sana dah Rip Celine
Na hapa ndipo ninapowashukuru WASHUA kwa kunilea KINGANGARI kwani nina UHAKIKA ningelelewa KIMAYAI MAYAI sasa hivi SIJUI ningekuwaje. Nilikuwa nikidhani MSHUA ananitesa au hata labda hanitaki kwa SHUBIRI za HAJA za KIMAISHA alizokuwa akinipa pindi nikiwa bado Yankee ILA sasa nimekuwa hivi Mtu mzima ndiyo naona faida ya MALEZI ya WASHUA waliyonipa. Kila nikiwaangalia Watoto wa KISHUA kadhaa niliokuwa nao KITAA karibia 85% sasa HAWAJITAMBUI na wana MAISHA ya AJABU na ya kutia aibu kwa Wanajamii. Na Mimi KUDADADEKI nitafanya hivi hivi kwa Toto langu litakalozaliwa na akizaliwa tu pale pale Wodini namwambia " HAPA KAZI TU ".[/QUOTE]
Samahani, una maana "hapa kazi" ya ccm au una maana work hard?
Sasa Hizo ni kufuru na Uchu wa ajabu ..inaonekana huyu alianza kupiga kampeni toka mama Yake alipogundua tu kuwa hawezi kupona Baada ya vipimo India ..
Kwa Mila za kiafrika haiingiii akilini marehemu Hana hata wiki Moja kaburini alafu mwanaye anaenda kupiga kampeni za ubunge ....sembuse kushinda......
Na hapa ndipo ninapowashukuru WASHUA kwa kunilea KINGANGARI kwani nina UHAKIKA ningelelewa KIMAYAI MAYAI sasa hivi SIJUI ningekuwaje. Nilikuwa nikidhani MSHUA ananitesa au hata labda hanitaki kwa SHUBIRI za HAJA za KIMAISHA alizokuwa akinipa pindi nikiwa bado Yankee ILA sasa nimekuwa hivi Mtu mzima ndiyo naona faida ya MALEZI ya WASHUA waliyonipa. Kila nikiwaangalia Watoto wa KISHUA kadhaa niliokuwa nao KITAA karibia 85% sasa HAWAJITAMBUI na wana MAISHA ya AJABU na ya kutia aibu kwa Wanajamii. Na Mimi KUDADADEKI nitafanya hivi hivi kwa Toto langu litakalozaliwa na akizaliwa tu pale pale Wodini namwambia " HAPA KAZI TU ".[/QUOTE]
Samahani, una maana "hapa kazi" ya ccm au una maana work hard?
Ya hard work tu Mkuu na siyo ile ya CCM kwani tayari hao CCM wameshanitibua Kichwa changu kwa huo UPOYOYO walioufanya.
Huu mfumo wa kindugu utaisha lini?kwani hakuna wasomi wengine..!
hiyo ni zarau kwa wananchi kwa maana nyingine wanachi watoto wao wabaki wapiga kura tu hawafai kua viongozi
Japo Mimi Ni MWANA CCM tena wa KUTUKUKA na siku zote nimekuwa NIKIWAPIGA MADONGO UKAWA humu tena ya HAJA tu lakini katika hili CCM hata Mimi mwenzenu SIJAWAELEWA. Hivi hata wiki 2 tu za Msiba wa Mama yake zimepita? Mbona Waafrika sasa hivi tunaanza KUPOTOKA hivi KIMAADILI? Kwahiyo hapa TUKISEMA kuwa labda Mtoto KAMDEDISHA Mama yake akijua kuwa ATAPITISHWA yeye tutakuwa tumekosea? Naomba niseme hivi tena very frank kuwa KUNA MAMBO mengine Watu wa UKAWA huwa WANATUSEMA ni UKWELI 100% na leo hata kama Wana CCM wenzangu MTANICHUKIA kwa haya POA tu. Hivi hakukuwa na Watu wengine hadi agombee tu Mtu mwenye jina la Marehemu Mama Kombani? Tunajenga picha gani hapa? CCM sasa IMEKUWA ni ya FAMILIA au ya WANANCHI wote walio sawa? Nashukuru pamoja na U CCM wangu lakini NAJITAMBUA KULIKOTUKUKA na NASIMAMIA kile NINACHOKIAMINI. Sasa napenda kuwapeni huu UKWELI huyo Kijana akipita huo Ubunge huko naiweka hii naniliu yangu hadharani MUICHARANGE na Visu au Mapanga. Na hata huku Kawe huyu Dogo Kipi Warioba nae NAWAHAKIKISHIENI kuwa HATOPITA. Wana CCM wenzangu NILIDHANI tutakuwa TUMEJIREKEBISHA baada ya KUPELEKESHWA hivi na Lowassa kumbe TUNAJIFANYA ni SIKIO LA KUFA. Nimeshikwa na HASIRA za ghafla kwa UPUUZI huu wa CCM yangu ngoja tu NINYAMAZE nisije NIKACHAFUA kabisa hali ya hewa. Napoteza muda wangu KUWAFANYIENI propaganda humu kumbe na Nyie MNANI JUMA NYOSSO KIMTINDO kwa kuleta UFALME ndani ya VAZI la SIASA. Sijawahi KUKASIRIKA kama nilivyokasirika kwa huu UPUUZI. Silali na nakesha kuwasaidieni MKUBALIKE halafu MNAFANYA YALE YALE Shenzy type. UKAWA na Lowassa WAKICHUKUA DOLA hata kwa hii Miaka 5 tu ITATUTIA ADABU wana CCM na TUTANYOOKA. Natamani hata KUVUNJA screen ya Laptop yangu.