Haya ndiyo mambo ambayo watanzania wameyachoka na ndiyo maana wanataka mabadiliko, inaonekana kipondo alichowapa mh. Nasari kule arumeru bado hakijawatosha
Japo Mimi Ni MWANA CCM tena wa KUTUKUKA na siku zote nimekuwa NIKIWAPIGA MADONGO UKAWA humu tena ya HAJA tu lakini katika hili CCM hata Mimi mwenzenu SIJAWAELEWA. Hivi hata wiki 2 tu za Msiba wa Mama yake zimepita? Mbona Waafrika sasa hivi tunaanza KUPOTOKA hivi KIMAADILI? Kwahiyo hapa TUKISEMA kuwa labda Mtoto KAMDEDISHA Mama yake akijua kuwa ATAPITISHWA yeye tutakuwa tumekosea? Naomba niseme hivi tena very frank kuwa KUNA MAMBO mengine Watu wa UKAWA huwa WANATUSEMA ni UKWELI 100% na leo hata kama Wana CCM wenzangu MTANICHUKIA kwa haya POA tu. Hivi hakukuwa na Watu wengine hadi agombee tu Mtu mwenye jina la Marehemu Mama Kombani? Tunajenga picha gani hapa? CCM sasa IMEKUWA ni ya FAMILIA au ya WANANCHI wote walio sawa? Nashukuru pamoja na U CCM wangu lakini NAJITAMBUA KULIKOTUKUKA na NASIMAMIA kile NINACHOKIAMINI. Sasa napenda kuwapeni huu UKWELI huyo Kijana akipita huo Ubunge huko naiweka hii naniliu yangu hadharani MUICHARANGE na Visu au Mapanga. Na hata huku Kawe huyu Dogo Kipi Warioba nae NAWAHAKIKISHIENI kuwa HATOPITA. Wana CCM wenzangu NILIDHANI tutakuwa TUMEJIREKEBISHA baada ya KUPELEKESHWA hivi na Lowassa kumbe TUNAJIFANYA ni SIKIO LA KUFA. Nimeshikwa na HASIRA za ghafla kwa UPUUZI huu wa CCM yangu ngoja tu NINYAMAZE nisije NIKACHAFUA kabisa hali ya hewa. Napoteza muda wangu KUWAFANYIENI propaganda humu kumbe na Nyie MNANI JUMA NYOSSO KIMTINDO kwa kuleta UFALME ndani ya VAZI la SIASA. Sijawahi KUKASIRIKA kama nilivyokasirika kwa huu UPUUZI. Silali na nakesha kuwasaidieni MKUBALIKE halafu MNAFANYA YALE YALE Shenzy type. UKAWA na Lowassa WAKICHUKUA DOLA hata kwa hii Miaka 5 tu ITATUTIA ADABU wana CCM na TUTANYOOKA. Natamani hata KUVUNJA screen ya Laptop yangu.
Ha ha haa...!una undugu na mdau humu anaitwa GENTAMYCINE mkuu au mmefanana mwandiko?
Huu mfumo wa kindugu utaisha lini?kwani hakuna wasomi wengine..!
hiyo ni zarau kwa wananchi kwa maana nyingine wanachi watoto wao wabaki wapiga kura tu hawafai kua viongozi
Japo Mimi Ni MWANA CCM tena wa KUTUKUKA na siku zote nimekuwa NIKIWAPIGA MADONGO UKAWA humu tena ya HAJA tu lakini katika hili CCM hata Mimi mwenzenu SIJAWAELEWA. Hivi hata wiki 2 tu za Msiba wa Mama yake zimepita? Mbona Waafrika sasa hivi tunaanza KUPOTOKA hivi KIMAADILI? Kwahiyo hapa TUKISEMA kuwa labda Mtoto KAMDEDISHA Mama yake akijua kuwa ATAPITISHWA yeye tutakuwa tumekosea? Naomba niseme hivi tena very frank kuwa KUNA MAMBO mengine Watu wa UKAWA huwa WANATUSEMA ni UKWELI 100% na leo hata kama Wana CCM wenzangu MTANICHUKIA kwa haya POA tu. Hivi hakukuwa na Watu wengine hadi agombee tu Mtu mwenye jina la Marehemu Mama Kombani? Tunajenga picha gani hapa? CCM sasa IMEKUWA ni ya FAMILIA au ya WANANCHI wote walio sawa? Nashukuru pamoja na U CCM wangu lakini NAJITAMBUA KULIKOTUKUKA na NASIMAMIA kile NINACHOKIAMINI. Sasa napenda kuwapeni huu UKWELI huyo Kijana akipita huo Ubunge huko naiweka hii naniliu yangu hadharani MUICHARANGE na Visu au Mapanga. Na hata huku Kawe huyu Dogo Kipi Warioba nae NAWAHAKIKISHIENI kuwa HATOPITA. Wana CCM wenzangu NILIDHANI tutakuwa TUMEJIREKEBISHA baada ya KUPELEKESHWA hivi na Lowassa kumbe TUNAJIFANYA ni SIKIO LA KUFA. Nimeshikwa na HASIRA za ghafla kwa UPUUZI huu wa CCM yangu ngoja tu NINYAMAZE nisije NIKACHAFUA kabisa hali ya hewa. Napoteza muda wangu KUWAFANYIENI propaganda humu kumbe na Nyie MNANI JUMA NYOSSO KIMTINDO kwa kuleta UFALME ndani ya VAZI la SIASA. Sijawahi KUKASIRIKA kama nilivyokasirika kwa huu UPUUZI. Silali na nakesha kuwasaidieni MKUBALIKE halafu MNAFANYA YALE YALE Shenzy type. UKAWA na Lowassa WAKICHUKUA DOLA hata kwa hii Miaka 5 tu ITATUTIA ADABU wana CCM na TUTANYOOKA. Natamani hata KUVUNJA screen ya Laptop yangu.
usichukie ndugu hiyo ndio syestem hata rais akifa chama kitapendekeza mtoto wake amrithi sijui ni lini makada wafia chama kama ndugu yangu polepole watapewa nafasi kama hizo.
haa haa hiyo ndo ccm. mzee sitta pale urambo kastaafu ubunge halafu jimbo kamwachia mkewe. mzee makamba jimbo kamrithisha mwanawe aitwaye january makamba. mzee mwinyi mwanawe anagombea ubunge. ccm mambo ya kupeana ndo yao...
na wakati huohuo maghufuli anasema ataleta mabadiliko.
Hii ndiyo desturi ya CCM?.
Kifo cha Sumari, Mgimwa na leo Kombani nafasi za kugombea wanapewa watoto wao
wanapeana ulaji,kwani huko ulanga hakuna mtanzania mwingine anaeweza kuongoza??ndio maana tunasema hii tanzania ni ya wote hii siyo ya kufalme..
huyo Godluck namjua nilisoma nae CBE Dodoma ni mvuta bange mzuri sana nani bonge la kilaza, alifutiwa matokeo yote mwaka wa mwisho 2011 baada ya kubainika alimpa mwanachuo mwenzake pesa ili amfanyie mitihani na baada aliekuwa anamfanyia mitihani kukamatwa wote wawili walifutiwa matokeo...hamna kitu hapo polen sana wana ulanga mmelamba GALASA hapo
kingunge hakukosea alivyosema ccm imebinafsishwa,mtoto naye anarithi jimbo!
Mzee Kigunge ni sahihi.
ulitaka awe nani Sera ya ccm no ile ile Mgimwa kafa kapewa mtoto .Sumari .Malima. ndiyo Sera angalia Kikwete Riz 1 Makamba. January Warioba.Kippi Sita kwa make wake hiyo no sera
Ccm inawenyewe,wengine mnashobokea tu mtatolewa kafara kwa umaskini wenu
Ukisikia ccm ina wenyewe ndio uelewe,ccm ni ya wenyewe..
Dawa ni kumpiga chini tu, hakuna cha kura za huruma. Wana Ulanga iepukeni hii dharau.
nawasikitikia sana wale wanaopanga kuipigia kura ccm..
Haya wote sasa na tuimbe kwa pamoja huku tukikatika mauno......Ha ha haa...!
Wakuu hivi ni sheria ipi inayokuzia usigombee kwenye siasa kisa tu mzazi wako alikuwa mwana siasa? Sheria inasema ukifika umri wa miaka 18 na kuendelea tayari upo katika umri wa kujitegemea na familia yako. kuna sekta nyingi mf. sheria, afya, elimu kuna watoto wanafanya kazi zinazofanana na za wazazi wao?
Mbona nchi nyingi ikiwepo Marekani tumeona wake ama watoto wanagombea?
Kama wewe unasifa za kugombea nenda kapambane naye jimboni siyo kulalamika kwenye keyboard