Mtoto wa darasa la nne Shule ya Mapinduzi adaiwa kubakwa Mbeya

Mtoto wa darasa la nne Shule ya Mapinduzi adaiwa kubakwa Mbeya

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hii hali sijui inaisha lini huzuni sana sana

Mtoto wa darasa la nne amebakwa na kijana mmoja akielezea kama una mtoto wa kike unaliaa

Mtoto anasema alichukuliwa akapelekwa nyumba moja alipoanza kulizia kuna nn kijana alimtisha ukisema kwa watu nakunyonga

Kijaana akaanza kufanya anayotaka mtoto akapiga kelelee akamwachia..Na kumtishia

Mama wa mtoto amesikitika hakujua kabisa mpaka alipomwona mtoto vipi ana tembea kuchechemea ndipo wakambana na kukiri aliguswa na mtu fulan

Baadhi ya wananchii wamesemaa huyu mtoto wa pili kubakwa mtaani kwao ajabu wa kwanza alipelekwa kupimwa akakamatwa mhalifu badaye wanamwona mtaani na wakiulizia wanambiwa uchunguzi haujakamilika

Kama wananchi wanakata tamaa saaana na hiki kitu uchunguzi haujakamilika kila siku...

Eeh Mungu tusaidie
 
Maadili hakuna tena, ubinadamu hakuna hata uoga hakuna

Kwanini matukio ya kishenzi namna hii yameshamiri hivi?

Je tumekuwa Taifa la wachawi?

Kila leo kesi za hivi hivi je watoto wataendaje mashuleni peke yao?

Au kuwe na amri lazima mtoto apelekwe shule na mzazi na kutoka pia?

Kesi za huko nasoma mara babu kajinyonga kwa sababu kagundulika kumbaka mjukuu wake
Mwingine nae ni Baba mzazi alimbaka mtoto wa miezi 6 hadi kufa

Kweli serikali inawakenulia meno hawa watu
 
Kuna muda watu wabaya tunawafuga wenyewe mtaani. Juzi wamepita vijana watatu nikiwa nje ya nyumba ninapoishi nikipiga story na majirani kijioni fulani ivi.

Sasa wakapita vijana watatu na kuwasemesha wale majirani wakasalimiana na kucheka kwa kugonga kabisa, wamemalizana, wale vijana wanaendelea na safari yao ile wamepita hatua kadhaa ati majirani wananiuliza "Madam unawafahamu hawa? Mi nikawajibu "siwafahamu!"

Wanasema "hawa ndo wale matapeli wa tuma kwenye namba hii" Mi nikabaki "😳"
 
TUNA SAFARI NDEFU NA HIZI KESI
Moshi napo kuna mzee kamteka binti wa miaka 14 kwa siku 3 sijui 4 alimfungia mahali anajipigia tu
Mama wa mtoto kafatilia polisi anapigwa danadana tu
Huyo mtumiwa naye kaachiwa ,polisi wako kwenye uchunguzi 😄
Nchi inakoelekea Acha tu
Kuwa na mtoto nchi kulea syo sehemu salama

Ova
 
Aisee! Haya mambo yamechachamaa sana sasa.

Hali ni mbaya upande wa kwenye familia wale watu wa karibu ndo wamegeuka mwiba mkali.
 
Moshi napo kuna mzee kamteka binti wa miaka 14 kwa siku 3 sijui 4 alimfungia mahali anajipigia tu
Mama wa mtoto kafatilia polisi anapigwa danadana tu
Huyo mtumiwa naye kaachiwa ,polisi wako kwenye uchunguzi 😄
Nchi inakoelekea Acha tu
Kuwa na mtoto nchi kulea syo sehemu salama

Ova
Kuna mama mmoja anahojiwa analia anaomba watuhumiwa wakikamatwa wawe wanamalizana nao tu uraiani

Mwisho wa siku wanapotoka wanaweza kuwadhuru nkasema polepole wananza sasa hizo chunguzi 😂
 
YAAN MTAAN TUMEAPA IKITOKEA JAMBO HILO NA TUNA HAKIKA NALO HATA POLISI HAENDI MTUHUMIWA
 
Back
Top Bottom