Mtoto wa darasa la nne Shule ya Mapinduzi adaiwa kubakwa Mbeya

Mtoto wa darasa la nne Shule ya Mapinduzi adaiwa kubakwa Mbeya

n kweli tunahitaji hofu ya Mungu na hekima lakni kwa hali hii ikiendelea tutaomba tuazae wa kiume tu...
 
mpwa mrangi
Kuna ile issue nilileta jaman wezi wana tutelage nikapokea ushauri wa hapa

Ndan ya wiki wawili wakaonjwa lile kundi limekwisha yaan tunajirejea saa sabab kwa aman...

Sasa hawa nao inabidi wananchi tu wafanye maamuzi magumu kulinda uhai wa stato wetu
 
Makahaba wote hawa na bado watu wanabaka tena k zenyewe hata hazijapevuka!
 
Wa mama mjitafakari na malezi ya watoto weno mnawalea kwa kuwapa uhuru sn watoto wenu tunawaona mtaani wanafanya hy mambo unakuta tayari mtoto alishakuwa anatumika muda tu na mama hujui ila nyie mkishagundua ndio kesi polisi mtoto kabakwa haiwezekani avutwe huko barabarani asilie aende ndani apige kelele watu wasisikie afike nyumbani asiseme mpk hy mama aone anatembea tofauti ndio ajuee badee msingizie alibakwa hy nalia na wakina mama wengi mnalea watoto wakikike kwa uhuru sn
 
ATINGA KORTIN KESI YASUBIRIA HAKIMU MWINGINE
NIKOPALE KWA MASAWE NTARUDI TENA
 

Attachments

  • IMG-20240905-WA0397-732x950.jpg
    IMG-20240905-WA0397-732x950.jpg
    169 KB · Views: 1
Wa mama mjitafakari na malezi ya watoto weno mnawalea kwa kuwapa uhuru sn watoto wenu tunawaona mtaani wanafanya hy mambo unakuta tayari mtoto alishakuwa anatumika muda tu na mama hujui ila nyie mkishagundua ndio kesi polisi mtoto kabakwa haiwezekani avutwe huko barabarani asilie aende ndani apige kelele watu wasisikie afike nyumbani asiseme mpk hy mama aone anatembea tofauti ndio ajuee badee msingizie alibakwa hy alishakuwa anatumika nakia na wa mama wengi mnalea watoto wakikike kwa uhuru sn
N kweli ila uhuru wa mtoto usiwaruhusu kuongezeka wabakaji mkuu wanapoelekea wananchi watachoka na watamalizana nao hata haya ya kusubiria wanahukumiwa lini hawataihitaji
 
Shetani yupo kazini, Hii sio kawaidaa ndugu, haya matukio yanapamba motoo Eee Mungu Tunusuru na janga hili
 
Back
Top Bottom