Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Na ada alishalipa...Wewe unamshangaa huyo na Bill gates aliyeachana na Chuo chenyewe kabisa?
Hahahaha noma sana na hata Mark Zurckerberg wa FacebookWewe unamshangaa huyo na Bill gates aliyeachana na Chuo chenyewe kabisa?
Magufuli alichafua sana akili zenu nyie watoto!! Nyote mnaamini sana katika uchawi.Alienda India kufundishwa biashara au kubebeshwa tunguri ili asimamie biashara
Nimeona jina la mchaga na muhaya hapo kwa fursa tu [emoji119][emoji119][emoji119]Habari wadau.
Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.
Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.
Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.
Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.
Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu cha ivy league zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.
Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?
ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.
View attachment 2337842
Naona hyo shule imejaa wahindi, wahaya nao wamoo na wachaga kwa mbalii
HatariAda milioni 70 kwa mwaka. Utegemee kukuta mzaramo ama mmakonde ?
Sawa mkuu.. ila point ya uzi wako sasa ni nini?Iwe ameomba ama hakuomba ila scholarships alipata na aliikataa. Soma hapo mwaka 2007 waliopata scholarship wa IST na uone nani ali decline offer
Sawa mkuu.. ila point ya uzi wako sasa ni nini?
Harafu Hawa Wahindi na Wasomalinawaita Watzn ,pumbavu.Habari wadau.
Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.
Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.
Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.
Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.
Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu cha ivy league zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.
Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?
ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.
View attachment 2337842
Harafu Hawa Wahindi na Wasomalinawaita Watzn ,pumbavu.
Ni upuuzi kuwapa fursa ya madaraka,hao sio Watz ndio maana wako na mahaba na India kwao kuliko Tanzania..Wanaitwa wa Tanzania wenye asili ya India.
Ukoo wa Mo dewji ni wa Tanzania hadi ubunge wanagombea na kushinda
Jamii ya Waasia wana mtazamo tofauti sana wa elimu ya Chuo tofauti na sisi Wamatumbi. Ndio maana hata hapa kwetu wengi wakimaliza form Six ni nadra sana kuwakuta wanahangaika kwenye vyuo vyetu hivi na hata wale wachache wanaofanikiwa kuingia kwenye hivi vyuo vyetu mara nyingi kuna aina fulani ya Course wanazosoma na hata wakimaliza huwezi kuwakuta wanahangaika na bahasha za Kaki kama sie.Habari wadau.
Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.
Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.
Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.
Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.
Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu cha ivy league zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.
Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?
ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.
View attachment 2337842
Sababu wenye nchi mko busy na mambo ya kijinga wao wanachangamkia fursaNi upuuzi kuwapa fursa ya madaraka,hao sio Watz ndio maana wako na mahaba na India kwao kuliko Tanzania..
Huku wanachuma.kama shamba la Bibi tuu.
Na wewe nenda kwenu Nangurukuru ukapewe Tunguri uwe tajiriAlienda kubebeshwa matunguri