Ni upuuzi kuwapa fursa ya madaraka,hao sio Watz ndio maana wako na mahaba na India kwao kuliko Tanzania..
Huku wanachuma.kama shamba la Bibi tuu.
Acha ubaguzi ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni upuuzi kuwapa fursa ya madaraka,hao sio Watz ndio maana wako na mahaba na India kwao kuliko Tanzania..
Huku wanachuma.kama shamba la Bibi tuu.
Na kuna watu watamsifia. Kwani kama angesoma chuo then akimaliza ndo akasomee kusimamia vya ndugu angepungukiwa nini
Na hivyo ndugu zake wamejazana kariakoo wanauza viatu na vitambaa vya sare kwenye maduka ya urithi lazima nione tofauti. Mimi nimelelewa kutegemea cha kwangu ndo maana nawaza tofautitatizo lako una fikra za kiafrika, yeye anafikra za kihindi, kwahiyo huwezi kuona ambacho kingempungukia.
Uko aliko kwasasa atakua anakuzidi maisha mkuuYuko wapi kwa sasa?