Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
 
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu you/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?

Unatafutaje scholarship bila admission ndugu.

You must have had an admission to a reputable university then go for a scholarship
 
Nenda YouTube search EBM scholars, jitahidi uwe na bando la kutosha kila kitu kipo hapo.

Scholarship za kufanya masters ni za kumwaga, wewe tu.
 
Unatafutaje scholarship bila admission ndugu.

You must have had an admission to a reputable university then go for a scholarship
Sijakuelewa, Yaani unamaanisha , Niombe nafasi ya kwenda kusoma masters kwenye chuo chochote kile, then nikipata ndo nitafure scholarship ?🤔
 
Unatafutaje scholarship bila admission ndugu.

You must have had an admission to a reputable university then go for a scholarship

Sijakuelewa, Yaani unamaanisha , Niombe nafasi ya kwenda kusoma masters kwenye chuo chochote kile, then nikipata ndo nitafure scholarship ?🤔

Unaomba Ufadhili ukiwa na admission letter boss, bila hivo huwezi pata ufadhili
 
Poa poa mkuu, ila si naskiaga Kuna zile ambazo unaomba tu moja kwa moja yaani unakuta chuo kabisa kinatoa scholarship ya kozi fulani.

Zipo hizo, ila mpaka uwe na vigezo vyote vya kudahiliwa, ambapo unapewa kwanza admission ndio inafata ufadhili
 
Orodha imejaa wahindi,wahaya,wachaga na wasambaa
 
Huwajui wahindi wewe, tulia hivyohivyo. Alafu wao wala hawajifichiki kwenye kufanya hayo kwenye biashara Kama sisi wabongo. Mtu ofisini kajaza matunguri kibao alafu anajifichaficha, kwa muhindi hiyo haipo
Wanaamini hvyo , na ndo wanaabudu hvyo, tatizo Sisi tunajificha ficha Sana na kuchanganya mambo , Leo upo kanisani/msikitini , kesho upo Kwa mganga kwenye biashara , hueleweki , chagua kimoja , kama ni Mungu awe Mungu , kama mizimu na waganga basi chagua hao hao
 
Wenzetu wakishapata elimu wanaenda tena kufundishwa elimu ambayo hawakupewa shuleni. Kama hatutachukua hatua za haraka kwa kuona mazuri kwenye changamoto tulizonazo fikira zetu zitaendelea kushikiliwa na mfumo. Shuleni hufundishwi namna ya kuanzisha biashara, huambiwi ukianguka kwenye biashara nini chakufanya,hufundishwi kazi ya benki kuu ni nini?Hufundishwi faida zakutunza dhahabu? Hufundishwi pesa nini?
 
watoto wa kiafrica wanaosoma shule hiyo ukichunguza wazazi wao ama wamo serikalini wakipiga pesa za bure au wana wazazi biashara zao za haramu
Hapana, Kuna familia zinaingiza faida ya kati ya dollar laki tatu au zaidi kwa mwaka kupitia export za mazao nje ya nchi, kwa nini mtoto asisome IST. Pia watoto wengi ni watoto wa foreign diplomats au wawekezaji hapa nchini
 
Zipo hizo, ila mpaka uwe na vigezo vyote vya kudahiliwa, ambapo unapewa kwanza admission ndio inafata ufadhili

Nazipataje boss, unaweza kunipa muongozo ? Ili nianze process

Ukirudi humu ukiona text hizi fanya unijibu mkuu🙏
 
Back
Top Bottom