Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Piki piki 5 bado mnapiga picha za kuzitangaza mitandaoni? Kuna yule dogo aligawa box moja la ream paper kwa uvccm
Yaaniii nasikia dogo yule huwa zinamruka ...anakuwa z...e..z..e...t
..a....sijui kawekwa pale asaidie dingi kukaa siasa na kuwa big....! Inaumiza sanaa....sasa mtu wa hivyo anaandaliwa eti ...kweli Tanzania zaidi uijuavyo....
 
Kalemaniii mguu sawa Chato.....!!
 
Yaaniii nasikia dogo yule huwa zinamruka ...anakuwa z...e..z..e...t
..a....sijui kawekwa pale asaidie dingi kukaa siasa na kuwa big....! Inaumiza sanaa....sasa mtu wa hivyo anaandaliwa eti ...kweli Tanzania zaidi uijuavyo....
Watanzania wengi ni mfano wa huyo dogo
Vitu muhimu na vyenye faida kwa chama na taifa wanafanya masihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…