Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Wewe ndiye kilaza usiyejitambua.Jesca KILAZA soon atakuja kuwa kiongozi mkubwa.
Hii nchi kuendelea labda yesu arudi, ashike madaraka mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye kilaza usiyejitambua.Jesca KILAZA soon atakuja kuwa kiongozi mkubwa.
Hii nchi kuendelea labda yesu arudi, ashike madaraka mwenyewe.
Kwani umezuiwa nini kwenda kupeleka madawati kwenye hizo shule? Unataka uzae wewe watoto halafu Jesca ndiye aje akununulie madawati?Arafu kuna shule hazina madawati
Acheni ukabilaIpo sanaa.....wanaiogopa...!! Mikoa kanda ziwa wakiamua kuamua....mtu atabebelea boxes kura za kujalizia
Wewe hunaga akili kabisaWewe hii ndio bidoi yako sio ? Michawa banaaaa.....pumuliwaaa
Swali maridhawa kabisa, kwenye first class world hii ingekuwa ni red flag,Hizo pikipiki, HELA KAPATA WAPI??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ni lile gawiwo la vitambulisho vya machingaHizo pikipiki, HELA KAPATA WAPI??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Wivu utakuuwa mwaka huu.Ni lile gawiwo la vitambulisho vya majinga
Unatumika lama vondom au toilet paper....aibu jitu zima kama ......pumuliwaWewe hunaga akili kabisa
Ujinga ndio umewajaa badala ya kufanya kazi kwa bidii kujiletea maendeleo na hata kusaidia wengineSwali maridhawa kabisa, kwenye first class world hii ingekuwa ni red flag,
Kuandika tu kunakusumbua.sasa Sijuwi utapata wapi akili ya kujadili hoja zaidi ya kupiga makelele na wivu.Unatumika lama vondom au toilet paper....aibu jitu zima kama ......pumuliwa
Pikipiki 5 zinakutoa ufahamu jitu zima....utaishia kuliwa na kuachwa ....utatolewa kafara jinga kabisaaa...Kuandika tu kunakusumbua.sasa Sijuwi utapata wapi akili ya kujadili hoja zaidi ya kupiga makelele na wivu.
Unaweza kutoa bure pikipiki tano hapo ulipo na ukapuku wako wa akili? Unafahamu thamani yake?Pikipiki 5 zinakutoa ufahamu jitu zima....utaishia kuliwa na kuachwa ....utatolewa kafara jinga kabisaaa...
CCM ni tanuri la kupika viongozi kuanzia wakiwa wadogo.tofauti na kule CHADEMA ambako ubinafsi umewajaa viongozi.ndio maana unaona Mwenyekiti ameng'ang'ania madarakani utafikiri hakuna wengine wenye uwezo wa kuongoza.Sisi tunamshukuru Isaka wa Mwigulu kwa kutupatia "lim".
Mama anaupiga mwingi!
View attachment 3136243
uwiiiiiiiii....😂Jokate: Uchumi wa Tanzania unategemea Bodoboda
Ndugu zangu Watanzania,
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.
Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.
Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chadema wamepokea ruzuku zaidi ya bilioni 10 mwaka huu, lakini Makamu Mwenyekiti Lissu hana gari, gari nzuri inayomfaa haizidi milioni 400, wangetoa hizo, ingebaki bilioni tisa na milioni 600.Ndugu zangu Watanzania,
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.
Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.
Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama ni rahisi nenda na wewe ukatoe.Piki piki 5 bado mnapiga picha za kuzitangaza mitandaoni? Kuna yule dogo aligawa box moja la ream paper kwa uvccm
Kama ni rahisi basi fanya na wewePikipiki less than 10 zinamwagwaje?