Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pesa zisizo halali wewe unazifurahia!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
1-Binti anaanzia miaka mingapi hadi miaka mingapi ukomo?
2-Kutoa pikipiki ni moja ya sera za CCM kama kugawa kanga,kofia,tisheti,elfu mbili kwa kila lofa mmoja na kupika ubwabwa kwa maharage vipindi vya karibu na chaguzi?
3-Matarajio ya ugawaji/takrima/rushwa hizo ni nini kuhusu hatma na maendekeo ya watanzania?
 
UVCCM ndio akili zenu zilipoishia
Mnashindwa kuwaza anagawa pikipiki pesa kutoka kwenye mfuko upi ?
Je, return ya mgawaji ikoje?
Ujinga wa wana CCM ndio unaowapa CCM mamlaka ya kuliibia Taifa
 
UVCCM ndio akili zenu zilipoishia
Mnashindwa kuwaza anagawa pikipiki pesa kutoka kwenye mfuko upi ?
Je, return ya mgawaji ikoje?
Ujinga wa wana CCM ndio unaowapa CCM mamlaka ya kuliibia Taifa
Kweli huna akili kabisa.kwa hiyo unafikiri utapata pesa kwa kubwetaka kama ufanyavyo wewe na uzembe na uvivu wako
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pesa za kununulia hizo pikipiki amezitoa wapi ?
Is it not a financial crime?
Vyanzo vyake vya mapato ni vipi?
Je, Kodi stahiki ya Serikali imelipwa kuhusiana na hivyo vyanzo vyake vya fedha?
Je, vyanzo vyake vya mapato ni halali kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za nchi hii?
 
Pesa za kununulia hizo pikipiki amezitoa wapi ?
Is it not a financial crime?
Vyanzo vyake vya mapato ni vipi?
Je, Kodi stahiki ya Serikali imelipwa kuhusiana na hivyo vyanzo vyake vya fedha?
Je, vyanzo vyake vya mapato ni halali kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na taratibu za nchi hii?
Mvivu mkubwa wewe wa akili na mwili .unakalia ujinga na mawazo ya kijinga na kuanza kuwaonea wivu wenye navyo.
 
Back
Top Bottom