Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha roho mbaya na chuki.

Angekuwa kama sisi tuliozaliwa kubeba ukoo na tukatoboa asingeweza hata kumaliza sekondari, hata kama unajipendekeza unajua hilo rohoni kwako kaa nalo ila andika upate ujira. Nimchukie kilaza au mtoto wa magu ananipunguzia au kuniongezea nini na uzee wangu huu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Binti kanifurahisha kwa kujitoa, Hongera zake na Mungu amjalie aingie serikalini anaweza kufanya makubwa zaidi.
 
Chadema wamepokea ruzuku zaidi ya bilioni 10 mwaka huu, lakini Makamu Mwenyekiti Lissu hana gari, gari nzuri inayomfaa haizidi milioni 400, wangetoa hizo, ingebaki bilioni tisa na milioni 600.

Zile Ford Ranger ambazo walinunua kwa ajili ya kanda/mikoa, Mbowe alinunua bila kutangaza tenda, akaishia kukusanya magari mabovu huko marekani, akayapiga rangi. Sasa hivi hakuna hata moja linalotembea
Ukiwagusa hivi huwa wanapiga kelele kama wamejeruhiwa
 
Acha mawazo ya kijima
Braza nimekuuliza "Hela ya pikipiki kapata wapi?""

Huku kwenye utumishi wa umma tunafundishwa Maadili.

Na isitoshe huyu ni Jobless University leaver.
Dada ake ndio alikuwa DAS Moro na dada ake mwengine wa kufikia alikuaga HR TANROAD Iringa na sasa hivi ni RAS Songwe.

Hela kapewa na dada zake??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Huyu anasumbuliwa na wivu
Sio wivu mi nauliza.

We mnyia una thubutu vipi kuzisema kahawa za Itaka mbaya wakati zako za Igamba ni mbaya zaidi??

Baba ake alipondaa waenda Foundation kumbe nyumbani kwake analea Kilaza wa UDOM.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom