Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CHADEMA ni chama kama kitega uchumi cha mtu kilicho mfukoni kwa mtu.ndio maana mwenyekiti yupo madarakani tangia 2004 ,kana kwamba wengine ni mahayawani wasio na uwezo wa kuongoza.

Matajiri wa nchi hii ni kutoka CHADEMA au CCM??? Jibu litadhihirisha ni kina nani wanatumia Chama kama kitega uchumi.
 
Anatafuta ubunge,mara pa Waziri-anakuwa waziri ambaye ni form 4 failure kama Makamba na Nape
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Njoo nikuoe Jesca Magufuli..🍎😘
 
Chapa kazi wewe acha uvivu wako na kuishi kama hayawani.
Kazi Gani wewe chawa! Dingi si alikuwa amejaza Hela vyumbani! Lakini alijiita mzalendo na kiongozi wa wanyonge? Alikuwa anawanyonga wadanganyika sana! Shame on your face!
 
Kazi Gani wewe chawa! Dingi si alikuwa amejaza Hela vyumbani! Lakini alijiita mzalendo na kiongozi wa wanyonge? Alikuwa anawanyonga wadanganyika sana! Shame on your face!
acha uzushi na uongo wako wa kijinga na kitoto
 
Back
Top Bottom