Raia wa Oman,ni balozi anayeiwakilisha Oman nchini Tanzania,Ni raia wa Tanzania au Omani? Ubalozi amepewa na Tanzania au Omani? na kuiwakilisha Tanzania au Omani wapi?
Mkuu huko Oman kuna wa Omani wengi sana wenye asili ya Tanzania,mfano waziri wa Petrol na madini wa Omani ni mswahili aliyezaliwa Tanzania,kuna kipindi fulani alifanya ziara Tz na ile Meli yao kama unakumbuka,Huyu kijana kwa jinsi navyoona tanzania alikuwepo kikazi lakini anavyofahamika nibkijana ambaye amekaa tanzania mda mrefu hata baba yake ni mkazi wa mkoa wa ahinyanga hadi sasa.
huyo hilal soud baba yake anatokea nzega,mkiani tabora,ndio asili yao hasaMimi siyo mtaalamu sana wa diplomasia kijana kalamba shavu ni kijana ambaye ameishi mkoa wa shinyanga kwa miaka yote lakini kwa sasa kalamba ubalozi kuiwakilisha OMAN hongera zake mimi kwa ujumla namtakia majukumu mema kuiwakilisha nchi yake ya OMAN nineamini kila kitu kinawezekana katika nchi yetu View attachment 2251834
Haujatueleza alizaliwa Shinyanga au Omani licha ya baba yake kuwa mkazi wa Shinyanga huku asili ya mama yake hatuijui.Mimi siyo mtaalamu sana wa diplomasia kijana kalamba shavu ni kijana ambaye ameishi mkoa wa shinyanga kwa miaka yote lakini kwa sasa kalamba ubalozi kuiwakilisha OMAN hongera zake mimi kwa ujumla namtakia majukumu mema kuiwakilisha nchi yake ya OMAN nineamini kila kitu kinawezekana katika nchi yetu View attachment 2251834
Alizaliwa Shinyanga.Haujatueleza alizaliwa Shinyanga au Omani licha ya baba yake kuwa mkazi wa Shinyanga huku asili ya mama yake hatuijui.
kwa sheria zetu huyu sio raia wa tanzania tenaKwani bado ni Mtanzania?
Rostam ndio kafanikisha hili mkuu?Kwa nini haushangai kingmaker Rostam ambaye ni MuIrani?
baba yake ni kipenzi sana cha Jk ingawa ni mwarabu lakini hao ni wa kazi wa kudumu mkoa wa shinyanga , na baadhi ya watoto wengine wapo ccm na walishawahi kugombea udiwani.
Inawezekana kapewa kazi ingawa yeye sio raia wa Omankwa sheria zetu huyu sio raia wa tanzania tena