nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 664
- 1,050
Na ishi shinyanga. Kwetu na kwa phantom ni tofauti ya Nyumba 4-5 sijawah kumwona. Ni wake kweli lakini shy labda anakuja na kuondoka na kwenye misiba ambapo wakifiwa na sisi hatuendagi sbb wao hawaji yetu. Hivyo nampongeza