wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hilal ndio mwenye Ginnery?baba yake ni kipenzi sana cha Jk ingawa ni mwarabu lakini hao ni wa kazi wa kudumu mkoa wa shinyanga , na baadhi ya watoto wengine wapo ccm na walishawahi kugombea udiwani.
Ubalozi hauombwi.Sio kitu cha ajabu hata wewe mleta mada katafute uraia wa nchi nyingine keisha waombe wakuteue uwe balozi wao Tanzania
honey from near Gamboshi village!Nje ya mada, Asali ya aina hii inaitweje?
Jazia nyama, asili ya mama yake.Alizaliwa Shinyanga.
Mama yake ni msukuma pure.Haujatueleza alizaliwa Shinyanga au Omani licha ya baba yake kuwa mkazi wa Shinyanga huku asili ya mama yake hatuijui.
Nchi imeuzwa kwa rostam azizi sasa waarabu wanaiteka yote ...haya maneno yangu mtayakumbuka tena hao waarabu siyo wazalendo kabisa kwa taifa letuMimi siyo mtaalamu sana wa diplomasia kijana kalamba shavu ni kijana ambaye ameishi mkoa wa shinyanga kwa miaka yote lakini kwa sasa kalamba ubalozi kuiwakilisha OMAN hongera zake mimi kwa ujumla namtakia majukumu mema kuiwakilisha nchi yake ya OMAN nineamini kila kitu kinawezekana katika nchi yetu
View attachment 2251851
Inaitwa waarabu kumiliki tena watumwa wao wabantuNje ya mada, Asali ya aina hii inaitweje?
inawezakanaje kuwa balozi wa nchi ikiwa sio raia wakeInawezekana kapewa kazi ingawa yeye sio raia wa Oman
Mkuu una mawazo ya kimasikini sana na unaonekana umekata tamaa!Nchi imeuzwa kwa rostam azizi sasa waarabu wanaiteka yote ...haya maneno yangu mtayakumbuka tena hao waarabu siyo wazalendo kabisa kwa taifa letu
Inategemea... Marekani hadi jeshi unaruhusiwa kujiunga hata kama sio raia.inawezakanaje kuwa balozi wa nchi ikiwa sio raia wake
Waarabu walikuja kuchuma madini overHuyu kijana kwa jinsi ninavyoona Tanzania alikuwepo kikazi lakini anavyofahamika ni kijana ambaye amekaa Tanzania muda mrefu hata baba yake ni mkazi wa mkoa wa Shinyanga hadi sasa.
Hata akizaliwa bado ni waarabu tuHaujatueleza alizaliwa Shinyanga au Omani licha ya baba yake kuwa mkazi wa Shinyanga huku asili ya mama yake hatuijui.
Kwani asili yake ni msukuma? huyo ni mwarabu asili yake ni UarabuniRaia wa Oman,ni balozi anayeiwakilisha Oman nchini Tanzania,
Ni sawa na wewe uchukue uraia wa UK kisha baada ya muda UK wakuteua kua balozi wao Tanzania,so hapo utarudi Tz kama balozi wa UK.
Kwahiyo huyu ni kijina na mimi niitwaje mtoto? hatari snMimi siyo mtaalamu sana wa diplomasia kijana kalamba shavu ni kijana ambaye ameishi mkoa wa shinyanga kwa miaka yote lakini kwa sasa kalamba ubalozi kuiwakilisha OMAN hongera zake mimi kwa ujumla namtakia majukumu mema kuiwakilisha nchi yake ya OMAN nineamini kila kitu kinawezekana katika nchi yetu.
View attachment 2251851
Huoni wanyama wameruhusiwa kusafirishwa?Sasa ana diplomatic immunity. Mzigo wake hauguswi pale airport. Hata almasi anabeba kilainii tuu.
Ukitaka kufanikiwa sahivi hapa nchini muone Rostam mambo yako yanakaa sawa ndani ya siku 2 ni simu mojaNchi imeuzwa kwa rostam azizi sasa waarabu wanaiteka yote ...haya maneno yangu mtayakumbuka tena hao waarabu siyo wazalendo kabisa kwa taifa letu