Sawa, uraia wa Tanzania aliukana? Na kuamua kuwa raia wa Oman?Hana uraia pacha,alizaliwa Tanzania kama wewe tu,
Mfano wewe leo hii uende USA kisha upate uraia wa USA,
Baada ya muda uteuliwe na Biden kua balozi wa US nchini Tanzania.
KalaghabahoUbalozi hauombwi.
Ushaona matangazo ya kazi za ubalozi?
Mkuu,mtu kazaliwa Bongo ataishije kwa vibali? Kaenda nchi nyingine kapata uraia wa huko,hapo inakua ni automatic anakua amepoteza uraia wa Tz coz Tz hairuhusu uraia pacha.Sawa, uraia wa Tanzania aliukana? Na kuamua kuwa raia wa Oman?
Kihistoria Omani na Zanzibar watu wanaingilia hata lugha, dini, koo, jamii kwa ujumula.
Ishu ni kama amezaliwa Tz basi alipokuwa hakuwa raia wa Tanzania? Aliishi kwa vibali?
Bado suala la uraia pacha haujanielewesha vzr
Nchi imeingia rasmi kwa wapigaji. Hawa wote ni watu wa Kikwete.Mkuu,mtu kazaliwa Bongo ataishije kwa vibali? Kaenda nchi nyingine kapata uraia wa huko,hapo inakua ni automatic anakua amepoteza uraia wa Tz coz Tz hairuhusu uraia pacha.
Sawa nimekupata uzuri.Mkuu,mtu kazaliwa Bongo ataishije kwa vibali? Kaenda nchi nyingine kapata uraia wa huko,hapo inakua ni automatic anakua amepoteza uraia wa Tz coz Tz hairuhusu uraia pacha.
Upo sahihi mkuuSawa nimekupata uzuri.
Watu kama hawa wanakuaga Majasusi.
Lakini mfano leo hii Tanzania inakubali suala la uraia pacha, je huyu Balozi ataomba au atatumia advantage alizaliwa huku?
Suala la uraia pacha kwa mtu kama huyu na nafasi aliyoteuliwa halikwepiki, atakuwa amepewa promotion kwa kazi aliyoifanya na kuamua kuutelekeza siyo kuukana uraia wake wa Tanzania.