sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Uk kuna Mzanzibar ni diwani lkn anaongea kiswahili kama mimi na wewe, kama ulivyosema yawezeka huko mbele akawa balozi na akapangiwa tzRaia wa Oman,ni balozi anayeiwakilisha Oman nchini Tanzania,
Ni sawa na wewe uchukue uraia wa UK kisha baada ya muda UK wakuteua kua balozi wao Tanzania,so hapo utarudi Tz kama balozi wa UK.