Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Just because hatufuatilii mambo ya Tanzania kama mnavyofuatilia ya haimaanishi hayafanyiki. Mbona Tanzania kuna stowaways wengi tu was kujifichaficha kwenye Ndege na Meli but your obsession with Kenya doesn't allow you to see it in your backyard. Ndio hawa -

 
Sasa Kama Kenya ni jehanam Tz ndio itakuwa nini? Maanake inashangaza sana kwamba watz wamezamia kwa maelfu na maelfu huku 'jehanam' kuomba omba mitaani na kutuchafulia hadi miji midogo midogo kama Murang'a na Kericho.
Wanakimbia paradiso wanaingia jehanamu, wengi ni hawkers na boda boda riders huku., Wangebaki paradiso, Ina maana Tz ndio jehanamu ya jehanamu[emoji23][emoji28][emoji1787]
 
Watanzania pia mnapenda uchawi na mazingaombwe. Badala ya kuenda hospitali kutibiwa kisayansi eti mnapiga nyungu ya miti shamba. Hata Waziri wa Afya ambaye ni daktari mzima anapiga nyungu.



MK254 mbona sisi Wakenya hatupigi nyungu sana kama Watanzania? Au ni kwa sababu sisi tunaaminia zaidi kupeleka watoto wetu hospitalini watakapopata matibabu ya kisayansi? Mbona sijawahi kuona Mkenya yeyote hususan hawa wanaoishi mjini wakipiga nyungu? Sasa waziri wa Afya akipiga nyungu na yeye ndiye amesomea medicine basi raia wa kawaida lazima afuate mkondo. Mimi kibinafsi siamini kama kupiga nyungu inaweza kuponya Corona, Malaria au Ugonjwa yoyote ile.
 
Watanzania pia mnapenda uchawi na mazingaombwe. Badala ya kuenda hospitali kutibiwa kisayansi eti mnapiga nyungu ya miti shamba. Hata Waziri wa Afya ambaye ni daktari mzima anapiga nyungu.



MK254 mbona sisi Wakenya hatupigi nyungu sana kama Watanzania? Au ni kwa sababu sisi tunaaminia zaidi kupeleka watoto wetu hospitalini watakapopata matibabu ya kisayansi? Mbona sijawahi kuona Mkenya yeyote hususan hawa wanaoishi mjini wakipiga nyungu? Sasa waziri wa Afya akipiga nyungu na yeye ndiye amesomea medicine basi raia wa kawaida lazima afuate mkondo. Mimi kibinafsi siamini kama kupiga nyungu inaweza kuponya Corona, Malaria au Ugonjwa yoyote ile.
Kwa hiyo kutumia dawa za mitishamba ni uchawi?
Hivi hapo kenya hakuna watu wanaotumia dawa za mitishamba?
 
Sasa Kama Kenya ni jehanam Tz ndio itakuwa nini? Maanake inashangaza sana kwamba watz wamezamia kwa maelfu na maelfu huku 'jehanam' kuomba omba mitaani na kutuchafulia hadi miji midogo midogo kama Murang'a na Kericho.
Hivi unajua kwamba ombaomba ni crime kwa sheria za Tanzania?, ukikutwa mitaani unaweza kukamatwa na kushitakiwa, ndio sababu wanakimbilia katika nchi ambayo ni law less country
 
Kwahiyo ukiwa na connection unapitishwa "illegally?"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kenya tu hata tz ukiwa na connection unapitishwa[emoji1787][emoji1787] we huoni wa ethiopia wenye connection wanapitia tz lkn wale wanaobahatisha wanaambulia majanga.
 
Uko sahihi kabisa.
Maana hata huko kwao hatujawahi hata siku moja kusikia kwamba wamewakamata wasomali au waethiopia wakivuka Kenya. Kule ni business ambayo inalipa balaa. Wakenya wana smuggle watu na kuuza nje.
Usiseme "HA" tujawahi! Jiseme wewe mwenyewe because you choose what kind of news want to consume!
 
Sio kenya tu hata tz ukiwa na connection unapitishwa[emoji1787][emoji1787] we huoni wa ethiopia wenye connection wanapitia tz lkn wale wanaobahatisha wanaambulia majanga
Hahahaha, Airport zetu sio huko kwenu, hata sindano huwezi kupitisha JNIA pasi kujulikana, that's why terrorists can't try to play with us, they know what will happen to them [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehe, hamna kitu hapo aisee.

Nina uwezo wa kuzama hadi hapo state house bila bughudha kabisa.

Halafu nshakwambia hamia Bongo, nakutafutia rafiki yangu akuoe na nitakupa ekari 5 uishi kwa raha na usalama, uachane na nchi ya kihuni hiyo.
Njoo ujaribu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona maiti tu ikijipa matumaini
 
Uko sahihi kabisa.
Maana hata huko kwao hatujawahi hata siku moja kusikia kwamba wamewakamata wasomali au waethiopia wakivuka Kenya. Kule ni business ambayo inalipa balaa. Wakenya wana smuggle watu na kuuza nje.
Hatuna hamu na mtu ambae anapita mwnywe, nyinyi ndio mna wivu na roho za kichawi za kutafuta kiki na vyeo..

Haya jamaa mna wa snitch na kuwafunga mumepata nn na juzi mumewaachia bure[emoji1787][emoji1787]
 
Huyo ni just common mwananchi anapenya na kudandia ndege, wale alshabaab wenye mbinu si wana uwezo kabisa wa kupenya na kulipua ndege ..
A banana Republic will always be banana republic
Njoo ujaribu basi[emoji1787][emoji1787]
Mbona unapiga domo sana au tukumie nauli uje uzamie
 
Tatizo rushwa ,hapo sio bure unafikaje eneo la ndege ukiwa si msafir
Kama Alshabaab wanashambulia Nairobi kadri wanavyopenda, unategemea nini?, mtoto wa miaka 16 anawezaje kuingia Airport bila kujulikana?
 
Hahahaha, Airport zetu sio huko kwenu, hata sindano huwezi kupitisha JNIA pasi kujulikana, that's why terrorists can't try to play with us, they know what will happen to them [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wale wa tz wanaofungwa uchina madawa wanayapitishia wapi[emoji1787][emoji1787]
Akina babu tale vipi, ngwea vipi[emoji1787][emoji1787]
 
Kama Alshabaab wanashambulia Nairobi kadri wanavyopenda, unategemea nini?, mtoto wa miaka 16 anawezaje kuingia Airport bila kujulikana?
Hata paris huaga panavamiwa na wamewazidi tz kw mbali sana, yani haitajiki
 
Hahahaha, Airport zetu sio huko kwenu, hata sindano huwezi kupitisha JNIA pasi kujulikana, that's why terrorists can't try to play with us, they know what will happen to them [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamekuja wakachinja watu juzi hko mtwara na bado hamjawafanya kitu huki mkisingizia eti mumewamaliza[emoji1787][emoji1787]
Wanajeshi wamekoma mpakani tu wakisubiria eti mavamizi mengine
 
Usiseme "HA" tujawahi! Jiseme wewe mwenyewe because you choose what kind of news want to consume!
Umemkimbiza, aseme hajaskia yeye tu[emoji1787][emoji1787] game over
 
Wamekuja wakachinja watu juzi hko mtwara na bado hamjawafanya kitu huki mkisingizia eti mumewamaliza[emoji1787][emoji1787]
Wanajeshi wamekoma mpakani tu wakisubiria eti mavamizi mengine
Hahahaha, unajua kilichowakuta, IDD Amin alivyojaribu kutuchokonoa kilichomkuta ndio kilichowakuta magaidi wa Msumbuji, hutowasikia tena, sisi sio Kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom