Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Kwani unachobishia nini? (Illegal) human trafficking inahusisha pia viongozi corrupt kama wakenya. Na ni biashara inayopigwa vita duniani kote. Cha ajabu Kenya hata haijishughulishi kuwazuia kuzuia wauza watu kimagendo wakipita Nairobi kutoka Ethiopia au Somalia.
Waliokua na connection wanapita kw sababu hata bongo sio wote wanaopita, upo "bibiye"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wahabeshi mtashika wale wasiokua na connectio hapo tz lkn walokonazo jamaa walishapita kitambo mnabaki kuwaonea wanyonge
 
Hta tz ukiwa na connection unaingiza madawa[emoji1787][emoji1787]
Kamuulize ngwear
Huyo dogo kazamia kwenye ndege, hyo ni self issue, dogo kawapa Ksh ngap Aviation officers.

NB: madawa ni network kubwa
 
Huyo dogo kazamia kwenye ndege, hyo ni self issue, dogo kawapa Ksh ngap Aviation officers.

NB: madawa ni network kubwa
Kamuulize ngwear atakwambia km ilikua anawapaga ngapi

NB: uzamiaji sio sawa na kwenda BUZA
 
Kamuulize ngwear atakwambia km ilikua anawapaga ngapi

NB: uzamiaji sio sawa na kwenda BUZA
Kuelewa kwako wewe huwa kipengele. Kwa hyo unafananisha gwea aliekuwa 26+ na huyo dogo wa 16+
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Komora katika ubora wako
Umeapnic, we jifungie chato hku ukifikiria umeshamaliza dunia..

Duniani kuna mambo zaidi ya nchi yako pendwa na yanafanywa na binadamu km wewe
 
Waliokua na connection wanapita kw sababu hata bongo sio wote wanaopita, upo "bibiye"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wahabeshi mtashika wale wasiokua na connectio hapo tz lkn walokonazo jamaa walishapita kitambo mnabaki kuwaonea wanyonge

Na Kenya wasio na connection mnawafanyeje?
 
Umeapnic, we jifungie chato hku ukifikiria umeshamaliza dunia..

Duniani kuna mambo zaidi ya nchi yako pendwa na yanafanywa na binadamu km wewe
sawa Komora [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Steam inhalation has proved effective in management of flue and several other respiratory problems ,
There are lots of local short acting inhalers doing the same especially for bronchodilation, they are all local acting, not systemic.
Go read about steam inhalation, dont wait for Mzungu to teach you everything. That minister of health is a medical doctor, not a cashier.

Upumbavu hadi sasa kwa wanajeshi.
 
Seems Ndugu zetu wa Tanganyika mnafuatilia Mambo ya Wakenya Sana,even the most minute issues,this is pathetic, immigrants try all they can to seek a better livelihood elsewhere,this is not a Kenyan problem, it's global, look at the Mexicans, North Africa, Ethiopia, Zimbabwe, etc, ata huyu wakenya alijaribu, the risk was low compared to those who use boats to cross oceans or the Ethiopians who are transported in cargo containers and they end up suffocating.
Hakuna anayefatilia mambo ya Kenya hilo tukio limetokea Uholanzi kwa mwananchi kuonyesha dunia mlivyo masikini hadi akaamua kuhatarisha maisha yake
 
Duh, imenikumbusha ile ya watoto wa nchini Guinea, Yaguine koita na Fode Tounkara waliotaka kuzamia nchi ya Belgium mwaka 1999 ..

Lol walikufa kwa baridi kali
 
Kenya ni shida mna dhiki hadi mnalazisha mkodishwe kwenye misiba mtoe machozi mlipwe

Cha muhimu mkono uelekee mdomoni baada ya siku,machozi ni yetu ila msiba Sio wetu,kama Ni njia halali shida iko wapi,hii imezidi kuombaomba ugenini
Heri nilipwe nilie msibani kuliko kutoa watu kafara za urogi
 
Back
Top Bottom