Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Hahahaha, unajua kilichowakuta, IDD Amin alivyojaribu kutuchokonoa kilichomkuta ndio kilichowakuta magaidi wa Msumbuji, hutowasikia tena, sisi sio Kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Mumebaki na maneno ya khanga[emoji1787][emoji1787]
Uko na ushahidi wowote ule wa kilichowakuta..
Jamaa walishafanya yao sai wapo msumbiji wanaandaa shambulizi lingine..
 
Mumebaki na maneno ya khanga[emoji1787][emoji1787]
Uko na ushahidi wowote ule wa kilichowakuta..
Jamaa walishafanya yao sai wapo msumbiji wanaandaa shambulizi lingine..
Ulishasikia wakifanya shambulizi lolote ndani ya Msumbiji baada ya kuivamia Tanzania?, kabla ya hapo ulisikia jinsi walivyokua wanateka vijijini ndani ya Msumbiji?. Lazima mkubali Tanzania sio Kenya, jeshi letu ndio jeshi bora zaidi katika ukanda huu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatuna hamu na mtu ambae anapita mwnywe, nyinyi ndio mna wivu na roho za kichawi za kutafuta kiki na vyeo..

Haya jamaa mna wa snitch na kuwafunga mumepata nn na juzi mumewaachia bure[emoji1787][emoji1787]

Terror hotbed ndo mwanzo wake huu, wa kutojali watu wanaofanya nchi yenu kama usharoba. Waulizeni wenzenu Libya wanafanyeje na wazee wa ushiroba kuelekea ulaya.
 
Terror hotbed ndo mwanzo wake huu, wa kutojali watu wanaofanya nchi yenu kama usharoba. Waulizeni wenzenu Libya wanafanyeje na wazee wa ushiroba kuelekea ulaya.
Libya watu wanapewa mpaka boti we unaongelea nini haswa
 
Ulishasikia wakifanya shambulizi lolote ndani ya Msumbiji baada ya kuivamia Tanzania?, kabla ya hapo ulisikia jinsi walivyokua wanateka vijijini ndani ya Msumbiji?. Lazima mkubali Tanzania sio Kenya, jeshi letu ndio jeshi bora zaidi katika ukanda huu [emoji23][emoji23][emoji23]
Eti niliskia[emoji1787][emoji1787]
Na wewe uliskia wapi km mliwatokomeza
 
Libya watu wanapewa mpaka boti we unaongelea nini haswa

Aha haaa 🤣 😛 🤣
Wale wanaotoa maboti ni human smugglers. Only in kenya ndiyo wataonekana ni wapiga madili wazuri.
 
Aha haaa [emoji1787] [emoji14] [emoji1787]
Wale wanaotoa maboti ni human smugglers. Only in kenya ndiyo wataonekana ni wapiga madili wazuri.
Human smugglers kwn ndio unafikiria hawana connections huku ngazi za juu, we unafikiria kuvuka boda majini ni rahisi rahisi
 
Uko sahihi kabisa.
Maana hata huko kwao hatujawahi hata siku moja kusikia kwamba wamewakamata wasomali au waethiopia wakivuka Kenya. Kule ni business ambayo inalipa balaa. Wakenya wana smuggle watu na kuuza nje.
Askari wa KDF walikuwa wanahongwa na Al shabaab kufanya biashara ya magendo ya mkaa kupitia Kismayu.
Kenyans are the most corrupt half minded humans in existence,
Yule mzee anauzia gundi yenye sumu kali watoto wa mitaani kwenye ile journal ya Zombies of Nairobi kule majalalani alipoulizwa na mwandishi kuwa polisi hawakufuati, akasema they always come and I bribe them with 500 and they go away.
 
Seems Ndugu zetu wa Tanganyika mnafuatilia Mambo ya Wakenya Sana,even the most minute issues,this is pathetic, immigrants try all they can to seek a better livelihood elsewhere,this is not a Kenyan problem,it's global,look at the Mexicans,North Africa, Ethiopia, Zimbabwe,etc,ata huyu wakenya alijaribu,the risk was low compared to those who use boats to cross oceans or the Ethiopians who are transported in cargo containers and they end up suffocating.
Nope, Corruption Kenya iko level nyingine ndio maana nchi yenu inaenda kutumbukia shimoni,
I can assure you that guy bribed the airport security with 500
 
Sasa Kama Kenya ni jehanam Tz ndio itakuwa nini? Maanake inashangaza sana kwamba watz wamezamia kwa maelfu na maelfu huku 'jehanam' kuomba omba mitaani na kutuchafulia hadi miji midogo midogo kama Murang'a na Kericho.
How can ombaomba manage to cross the boarder to another country, by the way do u guys even have Authorities and regulations on place?
 
Wanakimbia paradiso wanaingia jehanamu, wengi ni hawkers na boda boda riders huku., Wangebaki paradiso, Ina maana Tz ndio jehanamu ya jehanamu[emoji23][emoji28][emoji1787]
They are there because they are capable of bribing your police and immigration officials with 500,
I tell u huku kwetu aking'aa Mkenya au mgeni yeyote ni lazima awe na clean papers.
 
Watanzania pia mnapenda uchawi na mazingaombwe. Badala ya kuenda hospitali kutibiwa kisayansi eti mnapiga nyungu ya miti shamba. Hata Waziri wa Afya ambaye ni daktari mzima anapiga nyungu.



MK254 mbona sisi Wakenya hatupigi nyungu sana kama Watanzania? Au ni kwa sababu sisi tunaaminia zaidi kupeleka watoto wetu hospitalini watakapopata matibabu ya kisayansi? Mbona sijawahi kuona Mkenya yeyote hususan hawa wanaoishi mjini wakipiga nyungu? Sasa waziri wa Afya akipiga nyungu na yeye ndiye amesomea medicine basi raia wa kawaida lazima afuate mkondo. Mimi kibinafsi siamini kama kupiga nyungu inaweza kuponya Corona, Malaria au Ugonjwa yoyote ile.
Steam inhalation has proved effective in management of flue and several other respiratory problems ,
There are lots of local short acting inhalers doing the same especially for bronchodilation, they are all local acting, not systemic.
Go read about steam inhalation, dont wait for Mzungu to teach you everything. That minister of health is a medical doctor, not a cashier.
 
Human smugglers kwn ndio unafikiria hawana connections huku ngazi za juu, we unafikiria kuvuka boda majini ni rahisi rahisi
Kwani unachobishia nini? (Illegal) human trafficking inahusisha pia viongozi corrupt kama wakenya. Na ni biashara inayopigwa vita duniani kote. Cha ajabu Kenya hata haijishughulishi kuzuia wauza watu kimagendo wakipita Nairobi kutoka Ethiopia au Somalia.
 
Watanzania pia mnapenda uchawi na mazingaombwe. Badala ya kuenda hospitali kutibiwa kisayansi eti mnapiga nyungu ya miti shamba. Hata Waziri wa Afya ambaye ni daktari mzima anapiga nyungu.



MK254 mbona sisi Wakenya hatupigi nyungu sana kama Watanzania? Au ni kwa sababu sisi tunaaminia zaidi kupeleka watoto wetu hospitalini watakapopata matibabu ya kisayansi? Mbona sijawahi kuona Mkenya yeyote hususan hawa wanaoishi mjini wakipiga nyungu? Sasa waziri wa Afya akipiga nyungu na yeye ndiye amesomea medicine basi raia wa kawaida lazima afuate mkondo. Mimi kibinafsi siamini kama kupiga nyungu inaweza kuponya Corona, Malaria au Ugonjwa yoyote ile.
We mtu wa ajabu eti nyungu uchawi
We kweli kibaraka wa wazungu bado utumwa
Unakusumbua akili
Thamini dawa zako za asili,hivi hao wazungu wakikuambia ubngoe uta bongoaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ameona kwnye movie akaamua kukifanya practically hongera sana the son of our own flesh big up[emoji106][emoji106]wenye wivu wajinyonge
 
Back
Top Bottom