Mtoto wa Kenya adandia ndege kwa kificho hadi Uholanzi

Waliokua na connection wanapita kw sababu hata bongo sio wote wanaopita, upo "bibiye"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wahabeshi mtashika wale wasiokua na connectio hapo tz lkn walokonazo jamaa walishapita kitambo mnabaki kuwaonea wanyonge
 
Hta tz ukiwa na connection unaingiza madawa[emoji1787][emoji1787]
Kamuulize ngwear
Huyo dogo kazamia kwenye ndege, hyo ni self issue, dogo kawapa Ksh ngap Aviation officers.

NB: madawa ni network kubwa
 
Huyo dogo kazamia kwenye ndege, hyo ni self issue, dogo kawapa Ksh ngap Aviation officers.

NB: madawa ni network kubwa
Kamuulize ngwear atakwambia km ilikua anawapaga ngapi

NB: uzamiaji sio sawa na kwenda BUZA
 
Kamuulize ngwear atakwambia km ilikua anawapaga ngapi

NB: uzamiaji sio sawa na kwenda BUZA
Kuelewa kwako wewe huwa kipengele. Kwa hyo unafananisha gwea aliekuwa 26+ na huyo dogo wa 16+
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Komora katika ubora wako
Umeapnic, we jifungie chato hku ukifikiria umeshamaliza dunia..

Duniani kuna mambo zaidi ya nchi yako pendwa na yanafanywa na binadamu km wewe
 
Waliokua na connection wanapita kw sababu hata bongo sio wote wanaopita, upo "bibiye"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wahabeshi mtashika wale wasiokua na connectio hapo tz lkn walokonazo jamaa walishapita kitambo mnabaki kuwaonea wanyonge

Na Kenya wasio na connection mnawafanyeje?
 
Umeapnic, we jifungie chato hku ukifikiria umeshamaliza dunia..

Duniani kuna mambo zaidi ya nchi yako pendwa na yanafanywa na binadamu km wewe
sawa Komora [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upumbavu hadi sasa kwa wanajeshi.
 
Hakuna anayefatilia mambo ya Kenya hilo tukio limetokea Uholanzi kwa mwananchi kuonyesha dunia mlivyo masikini hadi akaamua kuhatarisha maisha yake
 
Duh, imenikumbusha ile ya watoto wa nchini Guinea, Yaguine koita na Fode Tounkara waliotaka kuzamia nchi ya Belgium mwaka 1999 ..

Lol walikufa kwa baridi kali
 
Hakuna anayefatilia mambo ya Kenya hilo tukio limetokea Uholanzi kwa mwananchi kuonyesha dunia mlivyo masikini hadi akaamua kuhatarisha maisha yake
Nyani haoni gundule.....
Watoto wa Tanganyika wamejaa Nairobi wakiombaomba
 
Kenya ni shida mna dhiki hadi mnalazisha mkodishwe kwenye misiba mtoe machozi mlipwe

Cha muhimu mkono uelekee mdomoni baada ya siku,machozi ni yetu ila msiba Sio wetu,kama Ni njia halali shida iko wapi,hii imezidi kuombaomba ugenini
Heri nilipwe nilie msibani kuliko kutoa watu kafara za urogi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…