naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Dah na unadhani utambadilisha kwa likizo ya mwezi mmoja tabia ambayo anafanya kwa miezi kumi akiwa shule!bottom line tulee watoto wetu wenyewe ili wawe na hizo tabia tunazozitaka ili wasipokua nazo tusijilaumuZile siku anazokuja likizo unamwambia asafishe chumba chake na kuandika kitanda, unamfundish kupika vitu kama wali, kuchemsha nyama au maharage, kukata vitunguu