Mtoto wa kike wa miaka 9 kulala na babake

Mgibeon na Asprin mnanitisha na kunichanganya. Nahisi nyie ni wanaume na mnayaelewa ya uanaume kuliko pengine ninavyoelewa kwa akili yangu ya ki aunamke. Hebu tiririkeni kama na uzoefu na haya mambo.
Mwanaume yeyote mwenye akili zake na baba bora kabisa mwenye kujua malezi... hawezi sio tu kulala na binti yake wa miaka 9... bali hata mtoto wake wa kiume. Miaka 9 kwa karne hii ni mtoto mkubwa sana...

Huyo mtu wako ana matatizo. Huwezi jua kwanini mkewe alimkimbia na kumwacha na mtoto wa miezi 6.
 
Sidhani, katasema tu. Ngoja nitafute safari ya wawili mimi na mtoto wa kambo. Tutapate muda mwingi wa kuzoeana na kubadilishana mawili matatu na pia nione itakuaje akiwa mbali na babake.
Kuwa makini sana. Na uwe tayari kwa lolote.
 
Kabisa Kabisa Mkuu, Yaani hata kama ni uzungu miaka 9 hapana..
 
Sio kutubana tu, pia anatakiwa kujitegemea. Kulala peke yake ni moja ya hatua katika kuendea kujitegemea. Una ushauri wowote?
Sio sahihi hata kidogo, motto anatakiwa atoke kwenye chumba cha wazazi wake mara anapofifkisha miaka mitatu au minne
 
Na miaka yote hiyo alikosa house girl wa kukaa na binti yake? Huyu baba ina maana hata jioni hawezi toka maana hawezi kumwacha binti peke yake, right?
Itakua huwa anatoka nae kwenda kupata mbili tatu kidogo.. Jamaa inaonekana mzungu sana.
 
Na miaka yote hiyo alikosa house girl wa kukaa na binti yake? Huyu baba ina maana hata jioni hawezi toka maana hawezi kumwacha binti peke yake, right?

Kwa mujibu wake si mtokaji sana na ikibidi hutoka nae au humwacha kwa ndugu na kumpitia kwenda nyumbani.
Pia toka nimeanza nae mahusiano si mtu wa kutoka sana. Yuko involved na watoto n homeworks, games etc.
 
Kwa mujibu wake si mtokaji sana na ikibidi hutoka nae au humwacha kwa ndugu na kumpitia kwenda nyumbani.
Pia toka nimeanza nae mahusiano si mtu wa kutoka sana. Yuko involved na watoto n homeworks, games etc.
Anyway...ngoja niishie hapo nisije nikahukumu bure.

Japo msimamo wangu uko palepale... si jambo la kawaida kwa baba kulala na binti yake wa miaka 9.
 
Kwa kutumia nguvu hatutaharibu zaidi?

Haitaharibu, nguvu kiasi tena baba yake ndio afanye hivyo, amtengenezee mazingira mazuri ya kutamani kulala chumbani kwake, mwanzoni tulipata shida sana nikamuuliza anataka chumba chake kiwe vipi nikamtengenezea hivyo hivyo anavyotaka na kununua kununua Tv ndogo
 
Mwache akikua ataacha.

Kwa kuwa hakuna mwanamke ndani ya nyumba huyo binti anachukuwa role ya mama mwenye nyumba kisaikolojia (possessiveness).

Tena kuwa makini sana asije kukuona unamuingilia kwenye himaya yake.

Wacheni uzinzi na uasherati. Unaongelea u "single mother" kama vile ni sifa.

Tena kujichunga kwenyewe ni uache kabisa kukutana na huyo mwanamme mpaka muoane. Huko ndiyo kumsaidia huyo mtoto, bila hivyo unamsadia nini kwa kufanya zinaa na uasherati dhahiri dhahiri bila hata ya aibu.

Wazinifu wachafu nyie mnafanya uzinifu wenu mbele ya watoto wadogo, mnawafundisha nini? Wawe Malaya?

Makosa kama mlifanya nyinyi msiwaambukize na watoto.

Pambaf.
 

Ana chumba chake lakini mimi si muumini wa kuwa na TV chumbani. Chumbani kwangu hakuna TV. Nitaangalia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…