Mtoto wa kike wa miaka 9 kulala na babake

mtoto unataliwa kutafuta njia za kitoto za nna ya kumwambia,huku ama unampa chokileti au aysikirimu na wakati mwingine mnaenda bichi then huko mnamweleza,na wakati huo ushamtayarishia kitanda chake vizuri na mmemuwekea midoli ya kila aina,mkirudi unampelekwa kwenye room yake,unamwambia utalala hapa na hii midoli ucheze nayo,atakubali kwa furaha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Asante Faiza kwa ushauri. Nitaufanyia kazi.
 
Alale peke yake tu apate,asipate usingizi lazima atalala huu ujinga miaka 9 bado mnapata woga eti hasinzii( penda asipende usingizi uko pale pale anauchelewesha tu)

haya mambo ya nimezungumza nae anakuwa mnyonge kulala peke yake. yale yale miaka 8 bado analishwa
 

Itabidi kuwa tough. Naamini atalala tunamuendekeza tu. Si unajua tena mtoto kama si wako inabidi uende kwa step.
 
Anyway...ngoja niishie hapo nisije nikahukumu bure.

Japo msimamo wangu uko palepale... si jambo la kawaida kwa baba kulala na binti yake wa miaka 9.
Inawezekana mimi bado ni kijana sana, ila Kupapaswa kifua na katoto ka miaka 9 huku miguu ikigusa mkuyenge kunatosha kabisa kusimamisha obmoo hata kama ni damu yangu.
 

Very possible, miaka miwili iliyopita nilienda kumtembelea shemeji yangu huko Bariadi, ajabu na kweli, nilikuta analala na mtoto wake wa kiume kipindi hicho alikuwa ana miaka 10, nilishangaa. Shemeji yangu ni dada wa mrs wangu. Lakini hata hivo, mimi nina mtoto wa miaka 12 wa kiume, yupo karibu sana na mama yake, mfano mama yake akiwa amepumzika mchana labda sebulen, mtoto nae anaenda kulala hapohapo. Kuna wakati juz kati tu niliskia yeye mtoto na dada yake wote walilala kitanda kimoja na mama yao nikiwa safarini. Dont make things complicated, take things normal.
 

It is relieving news to hear same experience from others.
Ila huyo wako at least halilii kulala na mama kitandani na baba akiwepo.
 
Mwenye kumsaidia huyo mtoto ni baba ake mwenyewe. Baba anapaswa kukaa na binti yake na kumueleza kwa upendo tu kuwa yeye ameshakuwa binti mkubwa sasa hapaswi kulala nae. Anatakiwa ajifunze kujitegemea kwa kuanza kulala peke yake au na binti mwenzie. Wewe mama ukiongea utaonekana una roho mbaya au unaunawaingilia. So mwambie baba aongee na mwanae

Be Humble is free of charge [emoji873]
 
Haya malezi ya kitamthilia hatari sana. Miaka 9 umnunulie chocolate eti umbembeleze? Huyo ni wa kutia bakora tu.
 
Kitu chochote kwa mtoto ana adapt kuendana na mazingira.
Cha kufanya.
Mnatakiwa kumuanzishia ukurasa mpya kwa kumtaka alale na dada yake hadi hapo atakapozoea, ikiwezekana hata kwa viboko ilimradi iwe atake au asitake.

"To expect bad man not to do wrong is madness"
 
Beberu Mwitu ni kweli. Mfano akigonga hakuna kumfungulia akitaka kulala mlangoni iwe juu yake sio?
Ikiwezekana hata akilala chini ya mlango nyie mwacheni tu madhali kitanda anacho na anakijua kilipo atazoea tu na atalala mwenyewe. Mi mwanangu nimemzoesha tangu akiwa na miaka 2 na hadi sasa hasumbui analala pekee.

"To expect bad man not to do wrong is madness"
 
Asante kwa ushauri.
 
Hii imekaa vizuri, nimeipenda.Nadhani mleta Mada kama ana nia njema afuate ushauri huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Death is the solution to all problems. No person no problem.. Joseph Stallion .

Just kill that baby ili kikwazo hicho kisiendelee kuwepo.

Ukishindwa achana na huyo mwanaume urudiane na mwanaume ulie zaa nae

Hakunaga familia ya hivyo..Wewe una mtoto na yeye ana mtoto halafu eti muishi kwa amani na upendo. Never in this world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…