Mtoto wa kike wa miaka 9 kulala na babake

Hakuna kama Baba,mwache mtoto alale na baba yake mpendwa!Mimi nitalala na wa kwangu hata kama ana miaka thelathini!

Kwa nini unadhani hiyo ni hekima na malezi mema? Miaka 30? Au unasema tu kufurahisha?
 
kuwa makini miaka 9 kwa mtoto wa kike ni mkubwa.mtume wetu Muhamad alimuoa Bi aysha Bint Abubakar akiwa na miaka 6 akaanza kumgegeda akiwa na miaka 9 na alivumulia gegedo vizuri tu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Malezi ya hovyo sana halafu wenyewe wanaona ndio uzungu na malezi bora
 
Sidhani, nitaongea na na nahisi atasema tu. Ngoja nitafute safari ya wawili mimi na mtoto. Tutapate muda mwingi wa kuzoeana na kubadilishana mawili matatu na pia nione itakuaje akiwa mbali na babake.
Kila utakachomuuliza atakuja kumuhadithia babaake wakiwa wamelala chumbani, tabu ni pale utakapouliza maswali ya kumnajisi mtoto halafu isiwe kweli then baba aambiwe kwamba umeuliza maswali ya namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani alianza kumlea tangu ana miezi 6! so kwa kipindi chote hicho alishindwa kumtafutia Mama wa kumlea?
 
kuwa makini miaka 9 kwa mtoto wa kike ni mkubwa.mtume wetu Muhamad alimuoa Bi aysha Bint Abubakar akiwa na miaka 6 akaanza kumgegeda akiwa na miaka 9 na alivumulia gegedo vizuri tu.
Mtume nae alikuwa kiwembe qumamamake, hadi mtoto wa miaka 6! Shame on him!!! Alitakiwa awe jela sahivi na mshenzi mwenzie R. Kelly.
 
Haya malezi ndio yale ya kina "no junia nooo"

miaka 9 charaza bakora atie akili
Mkuu unakuta wewe ni kati ya wanaolalamikia ukatili wa baba J, huku upande mwingine unashabikia malezi ya bakora na ukatili kama utumwani Babylon dhidi ya watoto wetu.

Huwezi jua historia ya bond ya huyo mtoto na baba yake. Huenda waliachwa ktk kipindi kigumu sana na mama wa mtoto au changamoto zingine zozote.

Jambo la msingi taratibu afundishwe sasa amekuwa mkubwa hatakiwi hata kuingia ovyo chumbani kwa wazazi.
 
Miaka 9 ni umri ambao mtoto bado msikivu sana kwa walezi wake. Hivyo mwelezeni faida ha hasara za kuchangia chumba. Vionjo vingi viwe akitumia chumba chake mwenyewe.
Weka na vigezo vya kiuchumi kwamba her bed room is running free! (matumizi mabaya ya mali) vinginevyo kipangishwe pamoja va samani zake.
 
Mkuu House of Commons, those are not normal things, watoto wanatakiwa watenganishwe kulala na wazazi wao wanapofikisha miaka mitatu, hii inawasaidia kupanua akili zao ikiwemo kuanza mapema kujitegemea, mtoto wangu ana 2 years ameweza kujizuia hata kukojoa kitandani, mnapolala nao watoto wnaendelea kuamini kwamba mnatakiwa kumuamsha aende kukojoa
 
khy wakati mnagegedana huwa mnafanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…