OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wakuu kwema
Hizi mvua mvua zinazonyesha hapa Bariadi leo nimeshuhudia graduates anayeishi kwa dada yake akipewa maelekezo na shemeji yake (mme wake na dada yake), ahamishe trip nne za mchanga (matipa/malori manne) kutoa nje kifusi cha mchanga kuingiza uwani (ndani ya fensi/ uzio).
Sababu mvua zinanyesha mchanga unasombwa na maji, jamaa ana mwili mdogo halafu kapewa amri ya kuingiza mlima mkubwa wa mchanga peke yake 🥺 aisee. Yaani mchanga wa kuzungushia mawe tu kisha hautabebwa na maji ila dogo kaambiwa wote uingie ndani tena kwa kutumia ndoo za lita tano tano.
Mimi Omoyogwane kwa ule mlima ukiniambia niubebe wote ngetumia hata mwezi mzima ila dogo kaambiwa aungize mchanga wote ndani ya siku moja 😆 .
Aisee mtoto wa kiume usikubali kuishi kwa shemeji yako ni laana ni kheri kuwa mfungwa ila sio kukaa kwa shemeji yako.
Niliyoyaona leo yamenifikirisha sana kuna vijana wanapitia magumu sana.
Nawasilisha.
Hizi mvua mvua zinazonyesha hapa Bariadi leo nimeshuhudia graduates anayeishi kwa dada yake akipewa maelekezo na shemeji yake (mme wake na dada yake), ahamishe trip nne za mchanga (matipa/malori manne) kutoa nje kifusi cha mchanga kuingiza uwani (ndani ya fensi/ uzio).
Sababu mvua zinanyesha mchanga unasombwa na maji, jamaa ana mwili mdogo halafu kapewa amri ya kuingiza mlima mkubwa wa mchanga peke yake 🥺 aisee. Yaani mchanga wa kuzungushia mawe tu kisha hautabebwa na maji ila dogo kaambiwa wote uingie ndani tena kwa kutumia ndoo za lita tano tano.
Mimi Omoyogwane kwa ule mlima ukiniambia niubebe wote ngetumia hata mwezi mzima ila dogo kaambiwa aungize mchanga wote ndani ya siku moja 😆 .
Aisee mtoto wa kiume usikubali kuishi kwa shemeji yako ni laana ni kheri kuwa mfungwa ila sio kukaa kwa shemeji yako.
Niliyoyaona leo yamenifikirisha sana kuna vijana wanapitia magumu sana.
Nawasilisha.