Akili yako ni ndogo kama kisodaWewe unataka kusemaje amani uliikosa muda gani? Alikubandua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako ni ndogo kama kisodaWewe unataka kusemaje amani uliikosa muda gani? Alikubandua?
kwa hiyo alikuwa alikuwa anakufanyia.......Mkuu nilishawahi kukaa kwa shemeji mwezi mzima hakuwahi kunitesa enzi ninasoma Ila scenario yenyewe ni kwamba alikua bado hajamuoa dada dada alikua Home mimi nilikua kwa jamaa aseeh siku wahi kupata amani Ata kidogo. Niwapongeze wanaoweza kuishi kwa shemeji wakamaliza mwaka
Naunga mkono hoja vijana bora wakae makwao!
Wengi wao hawapendi ila maisha yanawalazimisha sema hakuna shida ya kudumuUnakuta wanavutwa masikio na vi~kina "junia"na kupokonywa nyama wanabaki kuchekacheka sababu ya kupenda mserereko!!heri urudi kwenu ukakae kuliko kwa shemeji maana unapelekea dadako kukazwa kwa hasira ili usikie uondoke ila unakuta mtu na mzuzu wake yupo tu....inasikitisha sana!
shida ni mindset kwamba ukisoma lazma uajiriwe,ila ukijitosa mtaani mbona kuna kazi za nguvu na watu tumepatia mitaji huko na maisha yanaenda....hata mimi ilinitesa japo sikuwahi kuishi kwa mtu,shida wasomi vijana hawatak kuanzia chiniWengi wao hawapendi ila maisha yanawalazimisha sema hakuna shida ya kudumu
Kuishi kwa shemeji ni maumivu makali.
Usiku unasikia lijamaa linamfumua dada ako ni vilioo tuuu asssshhhhh oooohhh baba junior CHOMOA NIJAMBE
Hapo sasa ndo lijamaa linazidisha mikito ya kijasusi unasikia tu FOKOH FOKOH FOKOH FOKOH FOKOH
Unapata hasiraaa unameza fundo la mate kwa uchunguu mkali.....unang'ata godoro
kwa hiyo alikuwa alikuwa anakufanyia.......
Kuishi kwa shemeji ni maumivu makali.
Usiku unasikia lijamaa linamfumua dada ako ni vilioo tuuu asssshhhhh oooohhh baba junior CHOMOA NIJAMBE
Hapo sasa ndo lijamaa linazidisha mikito ya kijasusi unasikia tu FOKOH FOKOH FOKOH FOKOH FOKOH
Unapata hasiraaa unameza fundo la mate kwa uchunguu mkali.....unang'ata godoro
Afanye hata bodaboda siyo mbaya, boda wanathaminiwa sana na wake za watu ndo maana wanatunukiwa sana. Aache uzembe.Wakuu kwema
Hizi mvua mvua zinazonyesha hapa Bariadi leo nimeshuhudia graduates anayeishi kwa dada yake akipewa maelekezo na shemeji yake (mme wake na dada yake), ahamishe trip nne za mchanga (matipa/malori manne) kutoa nje kifusi cha mchanga kuingiza uwani (ndani ya fensi/ uzio).
Sababu mvua zinanyesha mchanga unasombwa na maji, jamaa ana mwili mdogo halafu kapewa amri ya kuingiza mlima mkubwa wa mchanga peke yake 🥺 aisee. Yaani mchanga wa kuzungushia mawe tu kisha hautabebwa na maji ila dogo kaambiwa wote uingie ndani tena kwa kutumia ndoo za lita tano tano.
Mimi Omoyogwane kwa ule mlima ukiniambia niubebe wote ngetumia hata mwezi mzima ila dogo kaambiwa aungize mchanga wote ndani ya siku moja 😆 .
Aisee mtoto wa kiume usikubali kuishi kwa shemeji yako ni laana ni kheri kuwa mfungwa ila sio kukaa kwa shemeji yako.
Niliyoyaona leo yamenifikirisha sana kuna vijana wanapitia magumu sana.
Nawasilisha.
I see your pointSimba and Yanga
Hapa mzee umefanya kama vile kwenye maisha watu wote wanapitia similar situations. Ila basidont take it personal,huwezi kaa kwa dada kwa kisingizio cha michongo haijakaa sawa,wapo raia wana hustle toka chini na maisha yanaenda!changamoto zipo but dont let them screw you up kiasi ukae kwa shemeji yako,shida wengi vi~elimu vinawaponza na kuchagua kazi za show off,man kama wewe unakaa kwa shemejio hadi sasa,then you are the one need to grow up!
ninachopinga mimi ni mtu kukaa kwa shemeji huku hana effort yeyote kujikwamua wakat kuna vibarua mtaani na watu wanafanya wana family,wamepanga na wanasomesha plus kusaidia wazazi,sasa iweje wew kijana ukae,ule msosi wa shemeji,this is not right hasa kwa maisha ya sasa!...karibu %80 ya watu wameanzia chini na kukua!maisha ni magumu mkuu ila tusibweteke!Hapa mzee umefanya kama vile kwenye maisha watu wote wanapitia similar situations. Ila basi