Wakuu ni hiv..nna rafik yangu anamtoto wa kiume miaka kama 6 hiv.
Huyu dada ni singo mama...
Huyu mtoto alivyolelewa aisee..au sjui labda wenzetu hawa wa rang nyingne hii ndo style yao
Aisee huyu dogo kila kitu analia..akidondosha kitu chake mwenyew analia..
Akivaa nguo analia,..akiwa anakula msos ukidondoka analia,.akichafua kitu bahat mbaya analia,
Akicheza na wenzio kitu kidogo tu analia,na mama ake ndo kumbembeeleza bas kama yai
Kiufup dogo analia had anakera sasa sjui,,ni mim macho yangu ya kiafrika au ni kawaida wadau.
Maana nilimchana huyo rafik yangu kuwa hii sio sawa kwakwel mtoto wa kiume kulia lia hiv muda wote..bas kani mind kinoma.😁😁
Ofcourse hainihusu ila nachotaka ni kujua hiv hii ni kawaida au
Huyu dada ni singo mama...
Huyu mtoto alivyolelewa aisee..au sjui labda wenzetu hawa wa rang nyingne hii ndo style yao
Aisee huyu dogo kila kitu analia..akidondosha kitu chake mwenyew analia..
Akivaa nguo analia,..akiwa anakula msos ukidondoka analia,.akichafua kitu bahat mbaya analia,
Akicheza na wenzio kitu kidogo tu analia,na mama ake ndo kumbembeeleza bas kama yai
Kiufup dogo analia had anakera sasa sjui,,ni mim macho yangu ya kiafrika au ni kawaida wadau.
Maana nilimchana huyo rafik yangu kuwa hii sio sawa kwakwel mtoto wa kiume kulia lia hiv muda wote..bas kani mind kinoma.😁😁
Ofcourse hainihusu ila nachotaka ni kujua hiv hii ni kawaida au