Ugonjwa kwa kuangalia ipad likija tangazo analia? Ni ugonjwa upi huu mkuu.Kama hana magonjwa basi huyo anadekezwa vibaya sana
Ugonjwa kwa kuangalia ipad likija tangazo analia? Ni ugonjwa upi huu mkuu.
Huyu ni madeko tu, dawa ni bakora tu nawaambia. Tena wa kiume huyu.
One man down walahi.
Kabisa fimbo huwa inasaidia na watoto huwa wanasoma akili zetu ukimuendekeza tu shughuli inaanzia hapo.Ugonjwa kwa kuangalia ipad likija tangazo analia? Ni ugonjwa upi huu mkuu.
Huyu ni madeko tu, dawa ni bakora tu nawaambia. Tena wa kiume huyu.
One man down walahi.
Ni kwel kabisa kaka..sometimes wazaz wanaharibu watoto wenyew...mtoto kama huyu...ila kaka wazungu wanaharibu sana watoto..malezi yao..daah..africa ha surviveakinyamaza atakua na ile kiburi ngumu sana, hajkujibu chochote wala hasemi chochote, anakutazama tu uwe unagomba au laa, umekasirika ama laa🐒
ni vizuri mama akajiribu kua mkali dhidi ya tabia hiyo ya kitoto sasa, lakini pia wew kama baba mdogo wake. Mkazie kurekebisha hiyo hali hata kama mamake ana mind but itakua umetekeleza wajibu wako kurekebisha mtoto 🐒
kuna leo na kesho, ya Mungu mengi...
Hahahaha..hapanaUtakuwa jina lake anaitwa Junior!
Siku hizi wanawaita Prince, mama anamuita mtoto wake my Prince!Hahahaha..hapana
Ana shida ampeleke hospital wamfanyie uchunguzi hasa kitengo Cha akili pale amanaDogo hana shida yoyote .ni anadeka tu..angekua anashida bas hata akicheza au akilala awe analia..ila hua analia pale akiwa amefanya kitu ambacho ahajakipenda..option yake ni kulia