Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Kataa ndoa wana hoja, wasikilizwe.Utavunja Unyumba Wa Watu, Wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kataa ndoa wana hoja, wasikilizwe.Utavunja Unyumba Wa Watu, Wewe
Mkuu Haya Siyo Maneno MazuriKataa ndoa wana hoja, wasikilizwe.
Mkuu michezo ya lugha itakuumiza bure kuna siku nilishawahi kuambiwa hilohilo neno "kuchamba" tafsiri yake nikujitawaza! so which is which..?Tusifike huko ndugu yangu bwana. Basi wewe endelea kuchambwa mpaka uchambike kama unaona ni sawa
Mbona huyo mama ni kama mwanasesere wa kitabuni
Huku kwetu tukirusha tu ndoano inatosha mkuu....🤣Wazee tutarusha kweli Satellite?
Mtaishia kurusha ndoano tuWazee tutarusha kweli Satellite?
Boya tu huna thamani huyo kwangu. Pumbavu.Wewe mda sio mrefu nita ku ignore .
Hivi mnajuaga pesa ilivyo ngumu kweli , aanze kulea mtoto ambae ni alama ya usaliti na dharau, kwel? ni bora ulee watoto uliye mkuta nao mwanamke kuliko kulea hao.Kitanda hakizai haramu
Jux hana mbegu za kuweka mimba, atapataje mtoto? Hawa wasanii wenu wanadinywa (mchicha mwiba) pia ndiyo maana urijali ni shida kwaoHuyo dogo mkubwa ni Jux mtupu. Imekaaje hii?
Pole jamani,sa tusemeje min -me ...mada imekuja kuvuruga amani wakati mtoto anaonekana kabisa ni damu ya mwenye nyumba jamanHivi mnajuaga pesa ilivyo ngumu kweli , aanze kulea mtoto ambae ni alama ya usaliti na dharau, kwel? ni bora ulee watoto uliye mkuta nao mwanamke kuliko kulea hao.
Msemo wa kitandaa hakizai harau kwa dunia ya sasa ni mufilisi kabisa.
Sasa uliambiwa mchicha mwiba hawezi kuweka mimba? Unaweza kuwa lijari na usiwe na uwezo wa kuweka mimba.Jux hana mbegu za kuweka mimba, atapataje mtoto? Hawa wasanii wenu wanadinywa (mchicha mwiba) pia ndiyo maana urijali ni shida kwao
We uko kundi la wale binadamu wenye akili ndogo, unaleta uzi kujadili maisha ya mtu, tena mtu asiye asiye na impact na watanzania, nyau na mhuni flan tu.
Unaona mnavyodhalilishwa? Mna akili ndg snHuyo dogo mkubwa ni Jux mtupu. Imekaaje hii?
Naanza kupata mashaka wewe mtu wa 50 - 60+ umejuaje jux babuJux mtupu mkuu, wetazama hadi masikio na komwe hilo...😜
amewahi kusema hatamsahau jux ...kwahali hiyo jux kwake ni abadaniKwamba?
Jux hana mbegu za kuweka mimba, atapataje mtoto? Hawa wasanii wenu wanadinywa (mchicha mwiba) pia ndiyo maana urijali ni shida kwao