Mtoto wa kiume wa Vanesa Mdee shikamoo wewe mlamba lips!

Mtoto wa kiume wa Vanesa Mdee shikamoo wewe mlamba lips!

dna.jpg
 
Hivi mnajuaga pesa ilivyo ngumu kweli , aanze kulea mtoto ambae ni alama ya usaliti na dharau, kwel? ni bora ulee watoto uliye mkuta nao mwanamke kuliko kulea hao.

Msemo wa kitandaa hakizai harau kwa dunia ya sasa ni mufilisi kabisa.
Pole jamani,sa tusemeje min -me ...mada imekuja kuvuruga amani wakati mtoto anaonekana kabisa ni damu ya mwenye nyumba jaman
 
Jux hana mbegu za kuweka mimba, atapataje mtoto? Hawa wasanii wenu wanadinywa (mchicha mwiba) pia ndiyo maana urijali ni shida kwao
Sasa uliambiwa mchicha mwiba hawezi kuweka mimba? Unaweza kuwa lijari na usiwe na uwezo wa kuweka mimba.

Uwe unafuatilia mambo kwa kina, repros imekupita. Poleeee.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi watu walisema mengi hapigi shoo watoto sio wake? Binadamu hamkoswi la kusema ulishawah kumtomber je unakithibitisho?
Jux hana mbegu za kuweka mimba, atapataje mtoto? Hawa wasanii wenu wanadinywa (mchicha mwiba) pia ndiyo maana urijali ni shida kwao
 
Back
Top Bottom