Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Kizazi cha nyoka hikiUnaona mnavyodhalilishwa? Mna akili ndg sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizazi cha nyoka hikiUnaona mnavyodhalilishwa? Mna akili ndg sn
Tumpe muda tutaona nani mkweli.Kuna kipindi watu walisema mengi hapigi shoo watoto sio wake? Binadamu hamkoswi la kusema ulishawah kumtomber je unakithibitisho?
Mtoto huyo ni wa Rotimi maana Jux hana hio Pua kuna vitu mtoto anachukua kwa baba ukimuangalia tu unajuaKwamba?
Angalia Pua Jux hana Pua ya hivyo watoto wote Rotimi angalia Pua zaoAcheni kuvuruga ndoa za watu , Jux miaka yote aliyokuwa na VMoney hakuna chochote alichosababisha ,V kaenda kwa Rotim then ndiyo akasababisha ,huyo mtoto ni wa Rotim .hizo za kusema amefanana na Jukiss ni illusion tu na kama V angetembea na Dayamondi mngesema kafanana na Dai ,wabongo wanapenda kuongea sana.
Basi jamaa ni zwazwaHili mbona tulilimaliza humu tena tuliokuwa tunasema ni wa jux tulichambwa tukachambika!
Muwe na akiba ya maneno... siku akizalisha mkewe mpya mbegu atakua kampa babako? NonsenseHuyo Juma kapata lini mbegu?acheni upashkuna wenu mkiona watu wametulia kwenye mahusiano yao mnaanza chokochoko
Hapo ulipo hata ule mswaki wako uliochakaa brush hujatia kinywani unaamka na na maneno ya ajabuajabu.hebu kanunue visambusa vya viazi ule upate nguvu ya kuanza siku kwa amani na sio makasiriko..Muwe na akiba ya maneno... siku akizalisha mkewe mpya mbegu atakua kampa babako? Nonsense
Huna akili ndo maana majibu cheap... jibu hoja, akimpa mimba mkewe mpya babako atakua katoa mbegu?????Hapo ulipo hata ule mswaki wako uliochakaa brush hujatia kinywani unaamka na na maneno ya ajabuajabu.hebu kanunue visambusa vya viazi ule upate nguvu ya kuanza siku kwa amani na sio makasiriko..
😂😂😂Hapo ulipo hata ule mswaki wako uliochakaa brush hujatia kinywani unaamka na na maneno ya ajabuajabu.hebu kanunue visambusa vya viazi ule upate nguvu ya kuanza siku kwa amani na sio makasiriko..
😂😂😂😂
JF hatari sana.