Mtoto wa kiume wa Vanesa Mdee shikamoo wewe mlamba lips!

Hivi ilikuwaje mtoto akafanana na ex je waliachana akiwa na mimba?yaani sielewi inakuwaje.
Tunapo waambia wanawake muache kubadilisha badilisha wanaume haya ndo madhara yake, unapomwagiwa sperm ujue zinaenda ku adhiri hormone zako, matokeo yake ndo hayo ukija kuzaa na mwanaume mwingine lazima tuu kuna character za mwanaume wa zamani atazibeba mtoto wako
Refer to

Watoto wa masanja na katibu
Nillan wa Diamond na the late Ivan
 
Kuna kitu natamani kujifunza kama hutojali unaweza kunielezea hiyo concept kwa kina au ninaweza kurefer kuje topic gani ya biology na ya level gani tafadhali.
 
Dah huyu mchicha kampa kibendi vanesa
 
Eeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…