๐— ๐˜๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜๐—ฒ๐—ธ๐—ป๐—ผ๐—น๐—ผ๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ

Hamna namna ya kuishi bila MUNGU au uganga/uchawi.....lazma uwe mfuasi wa kundi mmojawapo, ni suala la muda TU utanielewa
 
NANI KAKUAMBIA KUWA WEWE NI MJINGA๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„ WEWE NI MPUMBAVU SIYO MJINGA ...KAMA UMJUI MUNGU NIOMBE NIKUFUNDISHE DINI NI NINI ? UACHE KWENDA KWA WSPUUZI WA MAKANISANI NA MADHEHEBUNI.
Kati sitaacha ndio furaha na amani ya moyo wangu ilipo, hapa natamani jumapili ifike
 
Hamna namna ya kuishi bila MUNGU au uganga/uchawi.....lazma uwe mfuasi wa kundi mmojawapo, ni suala la muda TU utanielewa
Hapo kwenye kuishi na mungu ndiyo mnapo jidanganya na kujipa undugu na mungu feki ambaye ni ibilisi ...nitsjie mtu mmoja tu anaye ishi na mungu nina maswali..hata wa hindi wana mungu na wanaishi na mungu ila mungu wao ni ng'ombe
 
Kati sitaacha ndio furaha na amani ya moyo wangu ilipo, hapa natamani jumapili ifike
Kuna mlokole mmoja alinijia kunieleza habali za yesu nilimpiga nondo hadi kakimbia makanisa baada ya kumwambia injili ya kweli ya mungu mmoja mwenye nafsi moja
 
Kwenye Biblia tulitishwa kua Ni yesu pekee aliezaliwa bila mwanamke kutombw na mwanaume.

Huyo dogo WA Peru kampita mpk yesu maana dogo Hata tumbo la mama halijui na kazaliwa fresh kabisa
 
Tunafurahia teknolojia lkn tukae tukijua kuwa siju za mwisho nazo ziko karibu sana,maana ishara mojawapo kubwa ya siku za mwisho ni kuongezeka kwa maarifa...
 
Mtoto huyo ni zaidi ya Yesu.
Kumbe Mtoto kuzaliwa bila Baba au mama it's not an issue

Yaweza kuta Yule mama yake Yesu wakati wao walikuwa na hii tech Halafu wakatupanga kuwa yesu ni mwana wa Mungu sayansi imekuja kuibua mambo mengi Sana ambayo ktk dini tulikuwa tunapangwa
 
Hili tukio Lina nifanya niamini kuwa ni kweli binaadamu Alifanyiwa Cronin na annunak, Ila kwakuwa tulikuwa nyuma kiteknolojia Tukawa hatujui kuwa haya mambo yanawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ