Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Za kutaka(YAS)wafungwe.Kwani wewe mwnzangu unamiliki akili gani ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kutaka(YAS)wafungwe.Kwani wewe mwnzangu unamiliki akili gani ๐
Wafia dini watakuja kupinga,pedophile aliharibu akili za watu.๐ ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ถ๐๐ถ๐ฎ ๐๐ฒ๐ธ๐ป๐ผ๐น๐ผ๐ท๐ถ๐ฎ ๐ฏ๐ถ๐น๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐บ๐ธ๐ฒ
View attachment 3179822
Kwa mara ya kwanza Dunia imepokea tukio la ajabu baada ya mtoto wa kwanza kuzaliwa pasipo mwanamke, mtoto huyo amezaliwa kupitia mfumo wa Fertilo yenye kutumia teknolojia ya ovarian support cell (OSC) ambayo huweza ku control yai nje ya mwili wa binadamu.
View attachment 3179823
Utoaji huo wa mtoto umefanyika kupitia kliniki Moja ya Santa Label huko Lima kwenye nchi ya Peru, hii ikiwa ni hatua kubwa kwenye maendeleo ya uzalishaji wa mtoto kupitia Teknolojia.
Mbinu za kitamaduni mwanamke anapofanya mapenzi na mumewe (tendo la ndoa) mfumo wa homoni za kuonyesha Mabadiliko Kuna kiumbe anacho tumboni uanza kuanzia siku 10 - 14 lakini mfumo wa Fertilio yenyewe huweza hutumia chembechembe changa za kuunda yai na kukomaa kupitia maabara ndani ya siku Tatu tu.
View attachment 3179824
Fertilio Ni njia salama ya haraka na mbadala inayoweza kutumiwa zaidi ya njia ya utamaduni, mfumo huu utaweza kutumiwa na nchi mbalimbali kama vile china, Australia, Usa nk.
View attachment 3179825
Hatua hii inaonyesha maendeleo makubwa katika uzazi ambapo sio lazima mama abebe mimba kupitia tu maabara mtoto anaweza kuzaliwa na kuwa na Afya njema huku wazazi wakapunguza mzigo wa kulea mimba miezi 9 badala yake wanasubiri mt
oto tu.
Bado hajajibuAkikujibu niite.
Kwa maana nyingine mayai au vyanzo vya uhai havitokani na binadamu?
Umechoka kuambiwa tuma ada ๐นhuku ndo nilikuwa natamani sayansi ifike, tumechoka na vimaneno "huyu mtoto nimembeba tumboni miezi tisa".
ifike huku fasta, nikitaka mtoto nanunua yai kwa pisi moja kali naweka mbegu zangu, kitu kinawekwa kwa chupa baada ya 9months nafuata kichanga changu.
simple like that
ephen_
Evelyn Salt
Sasa kama mtoto nimembeba miezi 9 nisiseme?huku ndo nilikuwa natamani sayansi ifike, tumechoka na vimaneno "huyu mtoto nimembeba tumboni miezi tisa".
ifike huku fasta, nikitaka mtoto nanunua yai kwa pisi moja kali naweka mbegu zangu, kitu kinawekwa kwa chupa baada ya 9months nafuata kichanga changu.
simple like that
ephen_
Evelyn Salt
mfumo wa Fertilo yenye kutumia teknolojia ya ovarian support cell (OSC) ambayo huweza ku control yai nje ya mwili wa binadamu.((Yai lililokwisha kurutubishwa))WAPUMBAVU WA MAKANISANI WATAKUAMBIA HUYO MTOTO NI NAFSI YA NNE YA MUNGU๐๐๐๐
Acha kueneza uvumi wa vitu ambavyo havijatokea. Hii technologia ni Bado na hakuna mtoto alieisha zaliwa kwa njia hii๐ ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ถ๐๐ถ๐ฎ ๐๐ฒ๐ธ๐ป๐ผ๐น๐ผ๐ท๐ถ๐ฎ ๐ฏ๐ถ๐น๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐บ๐ธ๐ฒ
View attachment 3179822
Kwa mara ya kwanza Dunia imepokea tukio la ajabu baada ya mtoto wa kwanza kuzaliwa pasipo mwanamke, mtoto huyo amezaliwa kupitia mfumo wa Fertilo yenye kutumia teknolojia ya ovarian support cell (OSC) ambayo huweza ku control yai nje ya mwili wa binadamu.
View attachment 3179823
Utoaji huo wa mtoto umefanyika kupitia kliniki Moja ya Santa Label huko Lima kwenye nchi ya Peru, hii ikiwa ni hatua kubwa kwenye maendeleo ya uzalishaji wa mtoto kupitia Teknolojia.
Mbinu za kitamaduni mwanamke anapofanya mapenzi na mumewe (tendo la ndoa) mfumo wa homoni za kuonyesha Mabadiliko Kuna kiumbe anacho tumboni uanza kuanzia siku 10 - 14 lakini mfumo wa Fertilio yenyewe huweza hutumia chembechembe changa za kuunda yai na kukomaa kupitia maabara ndani ya siku Tatu tu.
View attachment 3179824
Fertilio Ni njia salama ya haraka na mbadala inayoweza kutumiwa zaidi ya njia ya utamaduni, mfumo huu utaweza kutumiwa na nchi mbalimbali kama vile china, Australia, Usa nk.
View attachment 3179825
Hatua hii inaonyesha maendeleo makubwa katika uzazi ambapo sio lazima mama abebe mimba kupitia tu maabara mtoto anaweza kuzaliwa na kuwa na Afya njema huku wazazi wakapunguza mzigo wa kulea mimba miezi 9 badala yake wanasubiri mt
oto tu.
Ila yai limetolewa kwa mwanamke na mbegu kwa mwanaume zikaunganishwa halafu "kijusi" kikapatikana, kikakuzwa maabara hadi mtoto akakamilika, si ndiyo?Kwa mara ya kwanza Dunia imepokea tukio la ajabu baada ya mtoto wa kwanza kuzaliwa pasipo mwanamke, mtoto huyo amezaliwa kupitia mfumo wa Fertilo yenye kutumia teknolojia ya ovarian support cell (OSC) ambayo huweza ku control yai nje ya mwili wa binadamu.
Teknolojia ndo ipo kwenye majaribio Bado hata haijakamilika Wala hakuna mtoto aliyezaliwa.Ila yai limetolewa kwa mwanamke na mbegu kwa mwanaume zikaunganishwa halafu "kijusi" kikapatikana, kikakuzwa maabara hadi mtoto akakamilika, si ndiyo?
Je, ilichukua miezi 9 pia kukua na kutimia kama kwa mfumo wa asili?
Mbinguni utachomwa na moto wa blue weweDini na vitabu vyake vinatiwa aibu na sayansi.
na uwezekano wa mtoto kuwa wangu/si wangu ni 50/50, hyo tech ifike tu, nimechokaaaaUmechoka kuambiwa tuma ada
sema ila siyo kwa kuninyanyulia pua, hata mm nimechangia mbegu eti, eboooSasa kama mtoto nimembeba miezi 9 nisiseme?