Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Baby I miss youTatizo sijui unazungumzia nini๐ฎ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby I miss youTatizo sijui unazungumzia nini๐ฎ
Baby wako nani?Baby I miss you
Wale walikuwa Wana tupanga Mzee Wajua watu wengi wa Karne hii tuna jidanganya Kwa kudhani kwamba Jamii yetu ya sasa ndio ime advance Kwa tech kuliko jamii zote it was a lie Yaweza kuwa Huyo Mariam mama Wa yesu alipata mimba ktk majaribio ya kuwekewa sperm za Mwanaume kama inavyo fanyika ktk baadhi ya mataifa ktk Karne ya sasa , Halafu watu wa spiritual wakaona kuwa ule ni mchongo ndio wakaja na conspiracy kuwa yesu ni mwana wa Mungu , ๐ ๐ Sasa tech imekuja kuwaambua Leo dunia ina shuhudia Mtoto Ambaye Hana mama wala Baba Akiwa amezaliwa bila ya uwezo wa Roho mtakatifuKwenye Biblia tulitishwa kua Ni yesu pekee aliezaliwa bila mwanamke kutombw na mwanaume.
Huyo dogo WA Peru kampita mpk yesu maana dogo Hata tumbo la mama halijui na kazaliwa fresh kabisa
๐๐๐Baby wako nani?
Huyu kazidi wale Michael alinunua sperm then waka muwekea mwanamke something like thatHuyo ni sawa na wale wa Michael Jackson ?
Sentence yako ina fikirisha mkali, ipe nyama kidogoDini na vitabu vyake vinatiwa aibu na sayansi.
Tena vina dhalilishwa vibaya Sana ๐๐Dini na vitabu vyake vinatiwa aibu na sayansi.
Mawazo yako tu mkuu, vipi kama akaandaliwa kila kitu ali afanikiwe kwa kila atakacho?mtoto atakuja kuishi kwa stress mixer depression sana
Mbona iko wazi Mzee kuna visa vingi vilivyotajwa ktk dini kuwa ni mpango wa Mungu nakumbe sio sayansi imekuja kudhibitisha kuwa ni uongoSentence yako ina fikirisha mkali, ipe nyama kidogo
๐ช๐๐๐๐๐๐Kataa ndoa wanazidi kujikita kileleni kabisa mwa msimamo wa ligi.
Unazijua hizo dini kuliko mtu yeyote,sawa.Nani aliyekufundisha hadi ukazijua?Naujua ukristo kuliko mtanzania yoyote na naujua uislamu kuliko shekh yoyote ndiyo maana unaona waislamu wa hapa JF wanabaki kimya ninapo usema uislamu vibaya niliwaambia waislamu hapa kuwa mudi boy siyo mtume wala yeye mwenyewe ajui mtume ni nini ? Wakabaki kimya unadhani kwanini ...wewe na hao wapumbavu wa madhehebu ya dini amwezi kunifundisha chochote kuhusu dini na haki ...kwanza wakristo na waislamu amjui hata dini ni nini ? Wala amjui Mtume ni nini ? Ndiyo maana ninapo wajia waislamu hapa JF na kuwaambia kuwa muhammad alikuwa ajui hata mtume ni nini ? Uwezi kuwakuta kina faiza foxy wakijibu bali wanajificha au unadhani wanapenda.
AkiliUnazijua hizo dini kuliko mtu yeyote,sawa.Nani aliyekufundisha hadi ukazijua?
Hizohizo ambazo huwa unatumia kutuandikia humu?Horrible!Akili
Yas๐๐Hizohizo ambazo huwa unatumia kutuandikia humu?Horrible!
Yanga Afungwe Siku zote.Yas๐๐
Kwani wewe mwnzangu unamiliki akili gani ๐Yanga Afungwe Siku zote.
Akikujibu niite.Kuna kitu hujasema
Vipi hakuna chochote kitakachohitajika kutoka kwa mwanamke ili kufanikisha hili?