FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Si kweli. Labda huna vigezo.Hivi kwanini waarabu wanatuolea mabinti zetu lakini sisi hatuwaoi mabinti zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli. Labda huna vigezo.Hivi kwanini waarabu wanatuolea mabinti zetu lakini sisi hatuwaoi mabinti zao?
Si kweli. Labda huna vigezo.
Wale ni ngumu wao kubadili...ila wanaaswa sana kuwabadili wake ili kuongeza idadi ya waislamBinti alibadili dini kuwa muislam.
Ya kukatia bikraHivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Weusi au weupe siyo kigezo cha kuwa Mwarabu. Soma kijana.Wale ni ngumu wao kubadili...ila wanaaswa sana kuwabadili wake ili kuongeza idadi ya waislam
Lakini mwanaume mweusi hata awe sheikh,ostaZ,imam kumuoa binti Wa kiarabu????
Labda awe na kisima cha Mafuta tena hata apo bado atakutana na vikwazo kwenye familia
Weusi au weupe siyo kigezo cha kuwa Mwarabu. Soma kijana.
Uarabu siyo rangi, siyo taifa siyo dhehebu, siyo ukoo.
Uarabu ni utamaduni na lugha.
Wewe siyo mstaarabu?
Ya kupasulia Ng'onda......😀😀😀 Angalia yanapowekwa.....!!!!! Tofauti na yale ya KimasaiHivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Wale ni ngumu wao kubadili...ila wanaaswa sana kuwabadili wake ili kuongeza idadi ya waislam
Lakini mwanaume mweusi hata awe sheikh,ostaZ,imam kumuoa binti Wa kiarabu????
Labda awe na kisima cha Mafuta tena hata apo bado atakutana na vikwazo kwenye familia
Mkuu wewe personally unamjua nigga aliyeoa mwarabu au mhindi??Hayo mbona ni makubaliano binafsi kati ya wahusika mkuu.
Lakini endapo mtu anaona ugumu au shida kuoa mwenza wa dini tofauti sioni tatizo. Mbona hata kwa wakristo Biblia inasisitiza kuoana watu wa imani moja?
Cha msingi tuwatakie maisha yenye heri na mafanikio kwenye ndoa yao.
Mkuu wewe personally unamjua nigga aliyeoa mwarabu au mhindi??
Hujanielewa tokea mwanzo nlikuwa naongelea ukabila na ubaguzi Wa waarabu na wahindiNdio, tena zaidi ya mmoja. Mbona awali ulisema waislam kuoa binti zetu naona sasa umehamia kwenye ukabila na rangi? Uhindi na uarabu unaingiaje?
Ng'oda ni nini mkuu?Ya kupasulia Ng'onda......😀😀😀 Angalia yanapowekwa.....!!!!! Tofauti na yale ya Kimasai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]