publito
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 571
- 662
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume ni kiongozi wa familia, ana offer mahitaji ya familia pia ni jukumu lake kuilinda familia. Hiyo ni kama ishara kama mwanajeshi anavyobeba silaha yake kuwa yupo tayari kuilinda mipaka yake.
Hata sherehe za kimila za jamii zetu za zamani kijana akioa/ akitoka jando hukabidhiwa mkuki na sime, kumtambulisha kuwa yeye ni responsible active member of the society. Kumtambulisha kuwa ameiva, ana nguvu na yupo tayari kutumika kwa ajili ya jamii yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ng'onda na so Ng'oda.... MkuuNg'oda ni nini mkuu?
[emoji848][emoji848][emoji848]Mbona siku zote nipo huku mkuu.
huyu mhehe kafanya bonge la mistake, wahehe hawatamsamehe. tunawatakia maisha mema ya ndoa yao.Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomaniView attachment 1330401
Heh! You wishWacha namie nitafute mchuchu wa kiarabu niuwowe.
Japo similiki sheli, ila ninamiliki kijiwe cha kuuza petroli za Lita moja kwenye makopo kwaajili ya boda boda. So hopefully mtoto wa kiarabu atautuliza kwangu mrume ndago.
-Kaveli-
Ni fundi wa magariNdio mkuu,ni baba lishe.
dodge
Kama wewe n mhehe uwe unasoma historia ya kabila lenu. Uislamu ulitamalaki kwa wahehe kipindi cha Mtwa Mkwawa kutokana na urafiki wake na Sultan Abushiri, hivyo kuna wahehe wengi mno ambao n waislam na hata sasa Chief Abdul Mkwawa wa wahehe ni muislam tena mwenye damu ya kiarab kutoka kwa mama. Hivyo uislam kwa wahehe si jambo geni.huyu mhehe kafanya bonge la mistake, wahehe hawatamsamehe. tunawatakia maisha mema ya ndoa yao.
Mwe jamanii vibaya hivyo kumweka mwenzio mtandaoni[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1331165
Sent using Jamii Forums mobile app
Stamina alioa Simba SC, Mabeste alioa Level za juuMtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Stamina alioa Simba SC, Mabeste alioa Level za juu
huwa inanishangaza sana...culture za waarabu zimewatia upofuHivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Ilikuwa ni lazima lukuvi avae kanzu?Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomaniView attachment 1330401
Hapana,wala umeangalia vibaya anaonekana anafuraha kushinda kijana