Mtoto wa Makamu wa Rais wamarekani J.D Vance awa kivutio kwa mamilioni ya watu duniani ni baada ya kusinzia wakati babake akiapishwa!

Mtoto wa Makamu wa Rais wamarekani J.D Vance awa kivutio kwa mamilioni ya watu duniani ni baada ya kusinzia wakati babake akiapishwa!

Umeshindwa kumshawishi mwanamke mmoja awe chini ya ulinzi wako....ndio uje uombe kutuongoza
Hii dhana ingekuwa inafanya kazi kuna taasisi zisingekuwepo duniani.

Taasisi hizo zinaongozwa na watu ambao kwao kuwa na famili ni mwiko, lakini hizo taasisi ni kubwa mno duniani na kwa muda miaka mia na kadhaa.
 
Hii dhana ingekuwa inafanya kazi kuna taasisi zisingekuwepo duniani.

Taasisi hizo zinaongozwa na watu ambao kwao kuwa na famili ni mwiko, lakini hizo taasisi ni kubwa mno duniani na kwa muda miaka mia na kadhaa.
Kwao kua na familia n mwiko n wa mrengo wa kidini ( sister,padre)...
Sasa kiongozi mkuu wa nchi ambae taasisi zote ziko chini yake anapaswa awe mfano wa kuigwa.Hii hata kwa wa nyama ipo ( ukiwa single unatengwa)
 
Daaaaaa yule n Mungu nazani hapa tuko kwenye kipimo cha kibinadamu.
Hii unaleta hoja nyingine kabisa iliyojaa mikanganyiko.

Acha nikutaarifu tu kuwa kuna viongozi wengi tu ambao hawakuwahi kuoa au kuolewa na waliongoza ndoa au mpenzi si lolote wala chochote katika suala zima la uongozi.
 
Hii unaleta hoja nyingine kabisa iliyojaa mikanganyiko.

Acha nikutaarifu tu kuwa kuna viongozi wengi tu ambao hawakuwahi kuoa au kuolewa na waliongoza ndoa au mpenzi si lolote wala chochote katika suala zima la uongozi.
Jamani nimejibu kutokana na comment yako ( Yesu)
Nataka hao viongozi wa taifa la marekani kama case study.
Maana haushindwi kuniletea makadinali na mapapa.
 
Jamani nimejibu kutokana na comment yako ( Yesu)
Nataka hao viongozi wa taifa la marekani kama case study.
Maana haushindwi kuniletea makadinali na mapapa.
Duniani nchi sio marekani pekee hata hivyo James Buchanan hakuwahi kuoa
 
Back
Top Bottom